thr z no system which can be full secured, bt at least r half full,
.
Still Mmekurupuka, featuares nying sana bado, bado hamjaziweka, na pia haina mvuto kabisa kwenye sim, vitu hv havianzag tu kirahis rahis, na kama mpaka sasa hamjui bugs mlizo nazo, na hata m2 hawez kupoteza muda wake ili...
Humu ndani wapuuz weng,
yan hata hawajui wameingia jukwaa gan, kama huyo hapo juu,
Kwel pumba za kumjibu mwenzie,
.
Niliwaona kibao tu, kwenye Thread ya Wi-Fi kuna wapuuz et Wi fi ni dada ake na nan sijui, watu hawapo makn
Oya wakubwa
munjy1 ...... njunwa wamavoko ,
. Geukianen kwa PM bwana....
hiì ki2 iko Tanzania wide,
watu weng wanaitegemea
sasa fahari wawili, mki2nishiana Hawa Nyasi Watazid kuumia tu,
vi2 vidogo vidogo hv,
Geukianen kwa PM tu Wakuu
hzo weakness niliziona, kwenye Nokia X-pless music,
kumbe mpaka Nokia Asha,
.
Hapo kama browser haifunguk ndo bas tena,
Pole sana weakness of Nokians,
.
Labda kama mungu atakuona nawe pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.