hakika mtoa uzi umeandika vitu vya msingi sna, tunatakiwa kuchukua hatua sna kwenye security ya nchi yetu maana amani ya mashariki ya kongo inaipact sna kwenye usalama wa nchi yetu
Mimi nimekaa sehemu mbalimbali dar,but kigamboni is the best place hakuna foleni, nyumba zimekaa kwa nafasi Hali nzuri ya hewa n.k nimepanga but next month naanza ujenzi kwenye kiwanja changu kisarawe 2 mwasonga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.