mkuu mimi nimejifun
mkuu mimi nimejifundisha mwenyewe niko vizuri soon nitaweka link za youtube namalizia ili kila mtu ajifundishe mwenyewe,tukapambane kwenye trading na sio kuibiana huku.
Wakuu habari zenu, kuna jambo nimeliona kwenye vyuo vyetu vya Tanzania maana kwa hawa walimu wetu, waliotufundisha mavyuoni, nimekuja kugundua kumbe ndio chanzo kikubwa cha wanafunzi wetu kutokuwa na uwezo wa kutokuthubutu hata kuomba kazi nchi za watu, kujiajiri wenyewe hata kama hiyo course...
Wakuu nataka kushare na nyinyi kaistoria haka na amini kwa namna moja au nyingine inaweza kukusaidia kwenye maisha yako kama unatafuta kazi.
Baada ya kumaliza chuo mtihani wangu wa mwisho ilikuwa mwezi wa saba sikurudi kijijini kwetu nilikaa hapo moro town mwezi moja kwa kwandugu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.