supplanter genuine
Member
- Nov 20, 2017
- 12
- 10
Wakuu habari zenu, kuna jambo nimeliona kwenye vyuo vyetu vya Tanzania maana kwa hawa walimu wetu, waliotufundisha mavyuoni, nimekuja kugundua kumbe ndio chanzo kikubwa cha wanafunzi wetu kutokuwa na uwezo wa kutokuthubutu hata kuomba kazi nchi za watu, kujiajiri wenyewe hata kama hiyo course unaweza kujiajiri wenyewe ,
wahitimu wengi kutokupata kazi na kusema ajira ngumu, maana unashangaa walimu wote walioajiriwa mavyuoni wana GPA kubwa tu lakini hawana experience ya kufanya kazi kwenye ofisi yeyote kwa kile wanachokifundisha na maanisha kwa mfano kama mwalimu wa statistics awe ameshawahi kufanya kazi kama
mfano statistician, data manager, research officer.
Kama mwalimu wa sheria awe ameshawahi kufanya kwa vitendo kwa kuwatetea watu vizimbani pale.
Kingine ni hawajawahi kupublish research paper sehemu yeyote na wala hawajui wao ni theory tu jinsi walivyofundishwa na walimu wao ambao na wenyewe ambao hawana experience na kazi hata kidogo, walimu wengi ni theory tu practical weupe kuna prof mmoja wa kike alishawahi kunifundisha nikikumbuka saizi nipo ofisini na cheka sana na nilivyoelewa mambo sasa hivi yaani yule prof wa kike hajui chochote kuhusiana na software alikuwa anafundisha econometrics kwenye upande wa kutumia statistical package hakuna anachokijua na hizo software ndio zinazo tumika sana huku makazini watu wanataka matokeo na sio tu theory.
Fanya watu waone.sifa za mwalimu bora wa chuo anatakiwa awe ame fanya kazi sio ya kufundisha tu ya kile atakachoenda kufundisha, awe pia ameandika research paper na imekuwa published na awe anajua kufanya hivyo na sio awe amefanyiwa na mtu na mwisho awe ana GPA kubwa, na sio GPA kubwa tu peke yake.
Unakuta kwenye presentation za research paper za mwisho kwa wanafunzi wengi wanapika data na zinakuwa mtu kakaa ndani tu anaandika au kuandikiwa haendi kukusanya data na hakuna mwalimu anaweza kugundua hilo, watagunduaaje na wakati wenyewe hata hawana uzoefu na hayo mambo, wao wanasoma notes tu mbele hapo tu muda ukiisha wanasepa .
Ndio maana wanafunzi wanatoka vilaza mpaka unashangaa na wakati mitaala iko vizuri, wakienda kuomba kazi wanaambiwa mpaka uwe na experience hapo tafsiri yake ni kwamba huna unachokijua kuhusiana na kazi hiyo kwa vitendo, na wakati wewe tayari umeshafundishwa hayo mambo tayari miaka mitatu, na wakikupima kweli unaonekana hakuna unachokijua kwa vitendo.
Sasa mtu hajawahi kufanya kazi unataka anifundishe kazi hataijulia wapi? wakuu hayo ni baadhi tu niliyoyagundua wakati na soma nalipokuja kufanya kazi, wakuu kwa upande wenu mmeona mapungufu gani kwenye uwezo wa hawa walimu wetu wa vyuoni kwa ujumla?
wahitimu wengi kutokupata kazi na kusema ajira ngumu, maana unashangaa walimu wote walioajiriwa mavyuoni wana GPA kubwa tu lakini hawana experience ya kufanya kazi kwenye ofisi yeyote kwa kile wanachokifundisha na maanisha kwa mfano kama mwalimu wa statistics awe ameshawahi kufanya kazi kama
mfano statistician, data manager, research officer.
Kama mwalimu wa sheria awe ameshawahi kufanya kwa vitendo kwa kuwatetea watu vizimbani pale.
Kingine ni hawajawahi kupublish research paper sehemu yeyote na wala hawajui wao ni theory tu jinsi walivyofundishwa na walimu wao ambao na wenyewe ambao hawana experience na kazi hata kidogo, walimu wengi ni theory tu practical weupe kuna prof mmoja wa kike alishawahi kunifundisha nikikumbuka saizi nipo ofisini na cheka sana na nilivyoelewa mambo sasa hivi yaani yule prof wa kike hajui chochote kuhusiana na software alikuwa anafundisha econometrics kwenye upande wa kutumia statistical package hakuna anachokijua na hizo software ndio zinazo tumika sana huku makazini watu wanataka matokeo na sio tu theory.
Fanya watu waone.sifa za mwalimu bora wa chuo anatakiwa awe ame fanya kazi sio ya kufundisha tu ya kile atakachoenda kufundisha, awe pia ameandika research paper na imekuwa published na awe anajua kufanya hivyo na sio awe amefanyiwa na mtu na mwisho awe ana GPA kubwa, na sio GPA kubwa tu peke yake.
Unakuta kwenye presentation za research paper za mwisho kwa wanafunzi wengi wanapika data na zinakuwa mtu kakaa ndani tu anaandika au kuandikiwa haendi kukusanya data na hakuna mwalimu anaweza kugundua hilo, watagunduaaje na wakati wenyewe hata hawana uzoefu na hayo mambo, wao wanasoma notes tu mbele hapo tu muda ukiisha wanasepa .
Ndio maana wanafunzi wanatoka vilaza mpaka unashangaa na wakati mitaala iko vizuri, wakienda kuomba kazi wanaambiwa mpaka uwe na experience hapo tafsiri yake ni kwamba huna unachokijua kuhusiana na kazi hiyo kwa vitendo, na wakati wewe tayari umeshafundishwa hayo mambo tayari miaka mitatu, na wakikupima kweli unaonekana hakuna unachokijua kwa vitendo.
Sasa mtu hajawahi kufanya kazi unataka anifundishe kazi hataijulia wapi? wakuu hayo ni baadhi tu niliyoyagundua wakati na soma nalipokuja kufanya kazi, wakuu kwa upande wenu mmeona mapungufu gani kwenye uwezo wa hawa walimu wetu wa vyuoni kwa ujumla?