supplanter genuine
Member
- Nov 20, 2017
- 12
- 10
Anzisha biashara ya kuuza paka itakulipa maana unakiwanda cha kufyetulia
kwa bibi nyau unapajua.hapo utaratibu utaupataPaka huyu kazidisha umalaya usiku nakosa usingizi maana analeta wanaume wa kila aina nyumbani mbaya zaidi anagonganisha wanaume na anasabisha ugomvi nyumbani badala ya raha inakua karaha ni vita usiku kucha yani silali...
Huyu paka kazidi kuzaa hadi sasa kazaa mara 18 kwa ratio ya watoto wanne hadi watatu.. Yani akiwa ananyonyesha tayari vidume wamempachika mimba nyingine yani hakomi...
Nifanyeje ama kuna utaratibu wowote wa uzazi wa mpango? Kama kugegedwa huyu paka kagegedwa vya kutosha uzuri wake anapenda kushinda nyumbani na panya ni hadithi kwangu.. Ila inakua kero vitoto vinakua vingi hvyo napata taabu ya kuvigawa kila baada ya kujifungua..
Kama utaratibu upo wa kufunga kizazi ama uzazi wa mpango wa wanyama mnipe utaratibu..
Madume nayo hayashindi nyumbaniPole mkuu, nilifuga jike mara moja tu likatoroshwa na njemba moja ilikuwa inakuja nyumbani linaishia nje ikiunguruma tu mamaa humo ndani hakieleweki mtamfungulia tu mlango mwisho akaona isiwe shida akahamia kwa Jirani, Jirani akaniambia nikamwambia baki naye tu yaani kazaa huyo, kwa sasa naishi na mjukuu wake mmoja Ila dume maana niliapa sifugi tena jike
Mbona paka mwenyewe anaonekana mdg sana huyo?Paka huyu kazidisha umalaya usiku nakosa usingizi maana analeta wanaume wa kila aina nyumbani mbaya zaidi anagonganisha wanaume na anasabisha ugomvi nyumbani badala ya raha inakua karaha ni vita usiku kucha yani silali...
Huyu paka kazidi kuzaa hadi sasa kazaa mara 18 kwa ratio ya watoto wanne hadi watatu.. Yani akiwa ananyonyesha tayari vidume wamempachika mimba nyingine yani hakomi...
Nifanyeje ama kuna utaratibu wowote wa uzazi wa mpango? Kama kugegedwa huyu paka kagegedwa vya kutosha uzuri wake anapenda kushinda nyumbani na panya ni hadithi kwangu.. Ila inakua kero vitoto vinakua vingi hvyo napata taabu ya kuvigawa kila baada ya kujifungua..
Kama utaratibu upo wa kufunga kizazi ama uzazi wa mpango wa wanyama mnipe utaratibu..
Duh!Tafuta daktari wa mifugo hapo mbeya wapo wengi tu, wamfanyie operation ya kumtoa kizazi hiyo ndio komesha hakusumbui tena. Kama upo tayari kwa hilo sema nikupe namba zao.
Hili swali nilitaka uliza pia mwanzoni.Mbona paka mwenyewe anaonekana mdg sana huyo?
umeona eeHahahaaaaa... Watu MNATUVUMBUNJA mbavu wenzenu
Tatizo paka wako mrembo sana ana macho ya duara shingo ya upanga meno yamepangika na ana lips za kunyonya denda me mwenyewe namtamani na ningekuwa paka lazima ningemgonga
mbona paka wako anaonekana mpole mtaratibu na yamkini hajui kabisa hayo mambo unayomtuhumu.Au kuna kitu kakunyima mkuu??Paka huyu kazidisha umalaya usiku nakosa usingizi maana analeta wanaume wa kila aina nyumbani mbaya zaidi anagonganisha wanaume na anasabisha ugomvi nyumbani badala ya raha inakua karaha ni vita usiku kucha yani silali...
Huyu paka kazidi kuzaa hadi sasa kazaa mara 18 kwa ratio ya watoto wanne hadi watatu.. Yani akiwa ananyonyesha tayari vidume wamempachika mimba nyingine yani hakomi...
Nifanyeje ama kuna utaratibu wowote wa uzazi wa mpango? Kama kugegedwa huyu paka kagegedwa vya kutosha uzuri wake anapenda kushinda nyumbani na panya ni hadithi kwangu.. Ila inakua kero vitoto vinakua vingi hvyo napata taabu ya kuvigawa kila baada ya kujifungua..
Kama utaratibu upo wa kufunga kizazi ama uzazi wa mpango wa wanyama mnipe utaratibu..
Wangu yupo miaka sasa Ila halali ndani ikifika saa tatu usiku anasimama mlangoni au anatakuja sebuleni ana mlio wake tukimsikia tunamfungulia harudi hadi saa Kumi na moja alfajiri kuna mtu akitoka kwenda msikitini yeye anaingia moja kwa moja kwenye chombo cha chakula anakula ndio anakwenda kulala hapo litalala hadi saa tatu asubuhi ndio anatokaPaka dume hadumu nyumbani ata siku moja
kabisa maana akitoka katika matumizi mabaya ya mwili anakuwa kachoka hata habari na panya hana, hilo sikubishiiMkuu ukifuga paka dume ujue panya wataendelea kukusumbua maana yeye muda wa kuwinda panya atakwenda kuwinda mademu..
IPO SUA morogoroSijui kama kuna hospital za wanyama
Mkuu vipi kuhusu chakula hachagui? Maana wangu anakula dagaa, samaki, nyama, chips, tambi na vile tunavyokula ni lazima na yeye umuwekee katika chombo chake la sivyo jicho atakalokuangalia unaweza hata kupaliwa.Mimi nina Paka dume ana 5 yrs now japo simfugi kwa ajili ya Panya, nampenda tu na muda wote yupo home isipokua usiku lazima akapashe kwanza.... lol
Ila si kweli kua Paka atakua anaenda kwa mademu hii dhana ipo hata kwenye chakula ati usimpe paka chakula mara kwa mara atakua hakamati Panya, wanasahau Paka na Panya lile bifu lao ni la asili hata awe kashiba vipi akimuona lazima amuue.
AiseeeSasa afadhari paka huwa anafuatwa na madume alipo yeye, mbwa jike yeye hufuata madume hata kama yeye anakaa tegeta na madume yako tandale, atafunga safari. Ndio maana wazungu wakaona waambatanishe na tusi BITCH. Ukiambiwa YOU ARE A BITCH or SON OF A BITCH ni tusi moja kubwa sana la kukuhusisha na umalaya kama wa mbwa jike.
Kuna vimalaya vidogovidogo buguruni lakini vimekomaa na kazi....huyu paka nikimuangalia tu anaonekana ni malayaMbona paka mwenyewe anaonekana mdg sana huyo?