Hawa jamaa hawana jipya tena, kwisha habari yao mtu hawezi poteza mda wake kutazama olojino comedy kwani wako kwa manufaa ya serikali na siwananchi....
50% ya pato la nchi hii linalipwa na wafanyabishara na si wafanyakazi wala wakulima, je iweje Leo tunaonekana tunakwepa kodi!! .. Tunalipa kodi na tutaendelea kulipa Kwan hakuna nchi inayoendelea bila kodi
Mfanyabiasha analipa kodi tena kubwa sn lkn hasaminiwi na serikali anaonekana Kama bepari,, mfumo wa utozaji wa mashine utazamwe upya... Kodi bila mashine inawezekana ...
Mtu anaekaa ofisini hawezi kujua ugumu wa biashara kwa sasa,, mfanyabiasha wa kawaida kwa nchi hii kwa sasa anaonekana Kama bepari Kumbe yeye ndiyo mlipa kodi... Wanalipa kondi nyingi sana Kama ulizi, usafi na nyingine nyingi huku serikali hajamjengea mazingira mazur ya kufanya kazi.. Leo hii...
Wafanyabiashara wanalipa kodi na nikodi kubwa kuliko hata nchi za jirani tzn tunaongoza kwa kodi lkn ni masikin wa kutupwa,, je kodi hyo inaenda wapi? Madai yao ni yamsingi sn kwanza wanao lengwa hapo ni wafanyabishara wadogo ambao hawawez kumudu garama za hiz mashine,, kwani zinagarama kubwa...
Wanauzi sn hawa jamaa kla mwaka umeme unapanda huku mgao uko pale pale na miundo mbinu yake iko vile vile mibovu, hapa inamaana tutegemee mfumko wa bei kuongezeka... Eti maisha bora bt DAWA YENU 2015 Mtavuna mnachokipanda.....
Watu waliofiliska kisiasa huishia kwenye udini na ukabila, hawa wanaokiita chadema ni chama cha kikanda wamefilisika kisera... Hawa jamaa ni wanafki wanakiponda chama huku wanaendelea kuwepo siwaondoke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.