Rejea mada tajwa hapo juu,
Mpenzi wangu anadai kuwa anahisi mdomo wake ni mchungu muda wote, hali inayomfanya akose amani kabisa, hana mimba kwamba tutasema ni dalili ya mimba hapana.
Wataalamu wa mambo haya naomba mnisaidie, niimpe nin mpenzi wangu apone.
Asanteni
Ok i do again.
Nikiwa mdogo abt 15 hv nilianza punyeto, what i thank is that it wasn't that chronic, yaan ilikuwa labda mara 1 kwa mwezi au hata mwezi unapita cjafanya. So haikuwa ile ya kila siku.
Pa1 na mambo mengine ninaamini kinachonisumbua mim ni hisia kali nilizo nazo. Yaani nikishikwa...
Naombeni msaada, nimesoma kweny internet na vitabu mbalmbal nimechoka coni msaada, yaani nawahi kufika kikeleni mpaka naoma kero. Mweny msaada, dawa nk anisaidie niondokane na hili janga, ntampoteza mrembo wangu hivihivi. Japo tuliishakaa na kuongea kuhusu hii hali.
Sawa data
Ila maana ya kuuliza ni hii. Kuna watu tupo kama tumelogwa, machine ikiingia inaingia mojakwa moja hairudi. Ikirudi inatakiwa iende gereji yaani bafuni ikaoshwe. Kitendo cha kujua mfano labda ni dak 10 sasa unaanza kutumia advantage kwenda mdogomdogo ili angalau usogee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.