Wakuu samahan
Dogo langu kachaguliwa hapo udsm round 4
Sasa pale kwenye profile hakuna option ya confirmation
Nini nifanye ili wajue kwamba tayari amekubali kujiunga?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wazee samahan dogo langu kachaguliwa udsm hii round 4
Ila pale kwenye notification sijaona option ya confirmation
Badala yake wamesema kama hajawa interested na offer areject.
Hapa ndo inakuwaje wakuu?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nimeshindwa namna ya kuinsert moderm kwenye laptop kwa matumizi yangu ya internet
Ninatumia lain ya Halotel ninaomba kuelekezwa namna ya kuset ili iweze kuunganisha internet.
Naambatanisha picha za moderm yangu.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hapo inategemea na ufaulu wako mkuu kidato cha nne
Kama una D 4 ikiwemo chemistry, biology naamin unaweza kuanz na certificate ya famasia
Hii ni kozi ya miaka miwili ambayo ukihitimu utakuwa tayari umekidh vigezo na kutimiza adhma yako ya kuuza duka la dawa mkuu
Vyuo vipo vingi tu mkuu hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.