ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,273
- 22,004
Huo mdomo sasaNa nyie wanawake mnapata nini kwenye masikio? Ni nectar mnatafuta? Mmekuwa ndege au nyuki? View attachment 1812838
Huo mdomo sasaNa nyie wanawake mnapata nini kwenye masikio? Ni nectar mnatafuta? Mmekuwa ndege au nyuki? View attachment 1812838
Dah kwahiyo unataka waache hilo zoezi? Wee waendelee tu kuna wanaopenda🏃♀️🏃♀️
Wakaka endeleeni tu achaneni na porojo za mtoa mada😛
Maziwa hayatoi maziwa, yanatoa uji wa ulezi
Ova..
Acha basiii, kiukweli katika mazoezi pendwa na hilo lipo yaani kama uko Heaven vile asalaleeee.😂Hahahahaha wewe utakuwa mtu wa nyonyo
😂😂😂
Aka titi lapaYakishaanza kulala ndio yanakuwa maziwa
Inaonyesha unapenda mamb km hayoDah mhhm eeeh hapana
Si tunawazuiaga kupata kansa ya mazuwaDah kwahiyo unataka waache hilo zoezi? Wee waendelee tu kuna wanaopenda
Wakaka endeleeni tu achaneni na porojo za mtoa mada
Watu wa kanda ya ziwa hawa..tihtihtihHivi yale ni maziwa au matiti au manyonyo?
Au ukubwa ndiyo hutofautisha jina?
Watu wananyonya hadi 'uwemba' wewe washangaa kunyonywa hapo 'kabati la juu'
Kama unasikiaga maumivu ni wewe, wenzako huwa wanalazimisha yanyonywe mpaka yanyonyoke,huwa wanafeel raha na burudani ya ajabu tena full kuweweseka, Ndiyo hivyo yani.Maziwa yenyewe hata hayatoi maziwa lakini utakuta mtu anakazana kunyonya mpaka yanabadilika rangi tanakuwa mekundu mpka unahisi maumivu hata watoto sidhani Kma wananyonyaga mpaka wanawaumiza mama zao. Hivi mnapata nini kwenye maziwa ambayo hata hayatoi maziwa?
Nimeshajua ulichowaza..🤣🤣hahahaa nimejikuta nacheka kwa sauti baada yakuwaza mbaliii
Ziwa Nyasa,Tanganyika ama Victoria??Weka picha ya ziwa basi
Acha basiii, kiukweli katika mazoezi pendwa na hilo lipo yaani kama uko Heaven vile asalaleeee.😂
Kuna dogo hua nammaindi sana kila anapo chezea nyonyo, then namdanganya kuna dudu humo...😂😂Dah kwahiyo unataka waache hilo zoezi? Wee waendelee tu kuna wanaopenda🏃♀️🏃♀️
Wakaka endeleeni tu achaneni na porojo za mtoa mada😛