Uliyoyafanya yote ni ya kawaida tu... Labda huo ushaur wa mama mkwe kwa mwanae ila unajipanikisha bure tu..Ulipofanya hayo yote ulikua na akili timamu.. Mke akuzalie ila ulivyompa atatumia kwa wanae pia
dah nikishajua simuwez kama atujafunga ndoa namuacha asee... Unajua sisi me kuzingua ni mda wowote sasa ukiona humuwez mkimbie tu au labda uwe mpole sana
Issue unakuta mwanaume nguvu unazo za kutosha tu... Ila wa kwangu alikua anafanya ivyo akiwa mjamzito na baada ya kujifungua tena kwa operation... usipokua makini unaeza ishia jela japo kuna kipind nilikua nampiga kichwani tu na bado haachi fujo..Ila tulishindwana akaondoka akitegemea kurud...
Chelsea inaharibiwa na Kocha na wamiliki...bora tungebak na Tuchel hii Poch mashavu hii siielew kabsaaa.. hivi unaacha mabeki ambao kombineshen yao imecheza vizur ww unaamua kuweka Badiashile na Disas... why??? Alaf kama wachezaji ni wabovu mbona walikotoka walipeform?
Alibeba tu kikombe pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.