Uhamiaji wote wanakula rushwa sana hapo kariakoo wa yemen wana fanya biashara na hawana vibali wanaishi kwa kulindwa na hawa hawa watumishi wasio waaminifu waziri husika tembelea kariakoo naamini utashuudia uozo huu wengine wana pas za kusafiria za tanzania na sio wazawa ni hatari sana serekali...
yaani kweli kabisa mtu anishabikia ccm kwake maji shida. Elimu ya watoto ziro. umeme historia halaf ana shangilia ccm dah... kweli bado sisi ni mazezeta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.