Twalb zubeir
Senior Member
- Feb 23, 2015
- 143
- 51
Katika hali isiyo ya kawaida wananchi wa Mkoa wa mtwara wamebadilika Na kuiunga mkono ukawa kuanzia udiwani hadi Urais jambo ambalo linawafanya wagombea wa Ccm kutumia fedha nyingi Na vijana wanazichukua asbh jioni wako ukawa ambapo mbunge wa mtwara mjini amechanganyikiwa kwani hawaambiliki msemo wao
"Mtwara tuna jambo letu"
"Mtwara tuna jambo letu"