Wakuu habarini, TV yangu aina ya TCL Smart TV imepigwa shoti haiwaki fundi kasema card ya Tv imeungua.
Sijui naweza pata card ya TV kwa bei gani na maeneo gani kwa Dar es Salaam?
Naanza kuona dalili mapema, huyu binti niliyenae siku akiniomba pesa nikimwambia leo sina ananuna, yaan kutwa nzima hamna mawasiliano hata nikimpgia anaongea kama mgonjwa. Nadhani ndio aina hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.