Recent content by Sumti

  1. Sumti

    Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Maelezo meengiiiiii, unamaliza miti tuu. Unaleta jangwaaaaa.
  2. Sumti

    DOKEZO Je, uliwahi kufika bar ya Lubumbashi (kuzimu ya Dar), Mbezi Mwisho?

    Hali ikoje hapo Lubumbashi kwa mwaka huu 2025? Nataka nije hapo weekend hii.
  3. Sumti

    Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

    Mwaka w025 huu. Kutokea 05 Nov 2019, hakuna update yoyote wakuu? Au mmeshazeeka sasa??
  4. Sumti

    Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

    Kuna update yoyote ya machimbo mapya ya starehe na lodges? Tuko 2025 sasa hivi.
  5. Sumti

    Hizi ndizo nyumba zinazochangia kuenea kwa UKIMWI

    Any updates kufikia mwaka huu 2025??
  6. Sumti

    Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

    Daaaah nimeliwa. Mpaka sasa nina 5,000pi, 1980pi tayari iko migrated kwenye wallet na bado nachimba. Hii taarifa imeninyong'onyesha sana.
  7. Sumti

    Tuliokutana na Vituko Grocery au Pub au Bar za Mtaani tukutane hapa

    Itakuwa hii bia aliinunulia kwa hela ya mkeka uliotiki wa odds kama 2.3
  8. Sumti

    Hakuna kitu kibaya kama kujihisi umeathirika HIV

    Uzi mkongwe sana lakini bado una mafundisho mabichi kabisa. Tuchukue tahadhari. Kwa upande wangu, Mungu alinilinda sana. Mwaka 2019-2022, nilipiga zaidi ya mademu 70, kavu kavu na influence kubwa ya ulevi tena mitaa ya hatari kabisa, Kawe, Sinza, Temeke na Tabata. Lakini mpaka naokoka mwaka 2022...
  9. Sumti

    Kukatwa Misaada toka USAID kilio ni kikubwa!

    Wakati huo huo Serikali inatumia takriban Tshs 500B kwa mwaka kwa ajili ya kununulia magari, inatumia takriban Tshs 300B kwa matumizi ya kawaida ya ofisi za Umma na inatumia zaidi ya 300B kwa safafi za ndani na nje ya nchi. Vipi bwana kaka kama utashauri matumizi haya yapunguzwe ili tujibane...
  10. Sumti

    Tundu Lissu kwakweli kamdomo ndio kanamponza, hana rijamu katika kinywa chake!

    Tatizo na shida ya watanzania walio wengi ni ujinga na upumbavu uliopitiliza. Mtu akiwa mkweli, muwazi na asie mnafiki mnamuona hana maana. Mnapenda lugha tamu na laini za kudanganywa. Lissu hayuko hivyo, at least ameonyesha madhaifu ya rushwa na uongozi mbovu ndani ya chadema, madhaifu ambayo...
  11. Sumti

    PreGE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

    Kwa wajumbe gani mkuu? Hawa hawa waliomsindikiza leo kuchukua fomu? Au kuna wengine?
  12. Sumti

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hivi kuna uzi unaouzidi huu kwa umaarufu.?
Back
Top Bottom