Uzi mkongwe sana lakini bado una mafundisho mabichi kabisa. Tuchukue tahadhari. Kwa upande wangu, Mungu alinilinda sana. Mwaka 2019-2022, nilipiga zaidi ya mademu 70, kavu kavu na influence kubwa ya ulevi tena mitaa ya hatari kabisa, Kawe, Sinza, Temeke na Tabata. Lakini mpaka naokoka mwaka 2022...
Wakati huo huo Serikali inatumia takriban Tshs 500B kwa mwaka kwa ajili ya kununulia magari, inatumia takriban Tshs 300B kwa matumizi ya kawaida ya ofisi za Umma na inatumia zaidi ya 300B kwa safafi za ndani na nje ya nchi. Vipi bwana kaka kama utashauri matumizi haya yapunguzwe ili tujibane...
Tatizo na shida ya watanzania walio wengi ni ujinga na upumbavu uliopitiliza. Mtu akiwa mkweli, muwazi na asie mnafiki mnamuona hana maana. Mnapenda lugha tamu na laini za kudanganywa. Lissu hayuko hivyo, at least ameonyesha madhaifu ya rushwa na uongozi mbovu ndani ya chadema, madhaifu ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.