Ni sahihi kabisa. Ingawa wazungu walioleta dini ya Kikristo wamedai eti talaka hairuhusiwi lakini wazungu hao hao wakaleta na sheria ya ndoa inayoruhusu talaka kupitia mifumo ya kimahakama. Tutumie talaka vizuri ndoa zinaposhindikana. Tuache upuuzi wa kusema eti Mungu amekataza takala. Toa...
Uko sahihi. Pia kuna lengo la kudhibiti ongezeko la kasi la idadi ya bajaji. Zimekuwa nyingi mno. Tukiweka kodi kubwa tutadhibiti ongezeko bila kuathiri mapato.
Sio kosa la jinai. Yaani hutashtakiwa kwa lengo la kupewa adhabu. Isipokuwa yule uliyemuahidi anaweza kufungua mashtaka ya kukudai fidia. Fidia anazoweza kupata ni zile ambazo anaweza kuthibitisha kuwa alipata hasara kutokana na kuamini ahadi yako. Kwa mfano alimlipa MC GaraB kwa ajili ya...
Acheni kununua dada poa. Lakini hata hivyo hata hao unaodhani hawajiuzi nao wana namna zao za kujiuza. Inadaiwa asilimia 80-90 ya wanawake mjini wanajiuza. Tofauti yao ni kwamba, wengine ni full time na baadhi ni part time (Wana kazi zao nyingine). Wengine wanaojificha kwenye kivuli cha...
Mwanaume mwenye confidence hujibu kwa sentensi moja tu kwenye mazingira kama hayo, "SINA HELA." Hiyo ni hata kama ulitoa wallet mbele yake na aliiona imevimba. Halafu baada ya hapo uamuzi namuachia yeye kuendelea kuwa karibu yako au aende. Simple!
Wengi husema GPA kubwa sio uwezo wa kazi. OK. Je, kuwa na GPA ndogo ndio ishara ya uwezo mkubwa wa kazi? Jibu ni HAPANA kubwa. Watu wakifanana vigezo vingine ni salama zaidi kumchukua mwenye GPA kubwa.
GPA kubwa inamaanisha kuwa huyo mwanafunzi alikuwa na jitihada sana chuoni. Na pia...
Huyo jamaa na wengine aina yake huwa nawakubali sana. Wanatumia vyema fursa za ujinga wa wajinga kujipatia kipato. Ni majiniaz mno.
Wajinga wanaokwenda kwa hao watu hakuna kitu watapata eti kwa sababu waliombewa. Mimi siombi, siombewi, sisali, simshukuru huyo mnayemwita Mungu na wala simuamini...
Kama nature haiwezi kuwepo bila kuumbwa basi hata Mungu unayesema naye ameumbwa, na huyo aliyemuumba Mungu naye ameumbwa, huyo aliyemuumba huyo pia ameumbwa na kuendelea.
Yaani tukio la mtu mmoja kunusurika na mambo ya kutekwa ndio liwafanye watu wote waukumbatie uzito uliopitiliza? Huyo mmoja amenusurika, ok. Ni wangapi wanakufa na magonjwa yasiyoambukiza yakichangiwa kiasi kikubwa na uzito uliopitliza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.