Nami pia sina budi kumpongeza J.Mbatia ile ndo maana halisi ya budget mbadala kukosoa mapungufu,kushauri na kutoa mapendekezo na si zile tulizozoea zilizojaa personal attacks.
Sioni mantiki ya kuendelea kuzungumzia na kulikuza jambo hili japo kama taarifa hii inaukweli haikuwa busara kwa viongozi wa juu wa chama kutohudhuria mazishi ukizingatia marehemu alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya CDM.
Wakati akichangia wizara ya maji,katika utangulizi wake alianza kuwapa pole wabunge wafiwa lakini alienda mbali zaidi kwa kuwashutumu viongozi wa CDM Kutokwenda kumfariji marehemu Bi.Shida Salum wakati bado yupo hospitali.
Hali iliyopelekea wabunge kuomba muongozo kutoka kwa mwenyekiti wa bunge...
Wakuu endeleeni kutu-updates yanayojili ktk mechi hiyo, pia niwapongeze Azam fc kwa kutoa basi lao kupeleka mashabiki kuangalia mechi hiyo.
Huu ni uzalendo wa hali ya juu sana wadau wa soka hatuna budi kuwapongeza kwa kitendo hicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.