CCM 2015 wajiandae kukabidhi nchi kwa UKAWA

CCM 2015 wajiandae kukabidhi nchi kwa UKAWA

Haya ni mawazo dhahania. Ndani ya UKAWA hakuna mtu wa kuweza kuisambaratisha CCM

Ok sister lizabon,ID laki si pesa uneipumzisha kuwa mtu mzima na jaribu kuchangia mada kuelimisha jamii ukikuwa utaacha.
 
Ukawa mnaweweseka saana, hata mapekezi mliyoyapata ktk ziara za ukawa bado inaonesha hoja ya ukawa dhidi ya serikali bado halijawa chachu ya kupata waungaji mkono wengi. Mmeunganisha vyama vinne pamoja na shura ya maimamu ila bado watu wanahudhuria ni sawa kabisa na mkutano wa cdm tu, wakati Kinana peke yake unaoneka kuimarisha chama kwa nguvu sana.

Na haya je?

Je kuna haja ya kuvunja Bunge Maalum la Katiba na kuanza mchakato upya?

· Matokeo
Ndiyo

74% (540 votes)

Hapana
26% (190 votes)
Total votes: 730

Top of Form
Bottom of Form
Bottom of Form
 
CCM watajitahidi kutumia mbinu nyingi kujaribu kuusambaratisha umoja huu.
1. Kutumia Dola kujaribu kuzuia UKAWA wasifikishe ujumbe wa katiba kwa wananchi - mnaona wenyewe yanayotokea kule Kigoma
2. Kutumia mbinu ya kupenyeza Rupia.

Kama mbinu hizi zitashindikana, basi ni kweli anachotabiri mtoa hoja kwamba CCM iwe tayari kukabidhi nchi kabla ya 2015.

Sioni dalili ya DR. Slaa, Lipumba, Mbowe na Mbatia kuusaliti umoja huu, sioni dalili kabisa na kurudi nyuma. Watanzania tuwe tayari kwa mabadiliko 2015.

Intarehamwe (maccm) yako tayari kuua watusi wote (wapinzani wote) ili yaendelee kutawala. Tusahau kabisa maccm kuiachia nchi hii kiurahisi rahisi.
 
mazishi ya ccm yapo karibu,tujiandaeni tu kisakolojia kuupokea uhuru wa kweli
 
Ndoto za mchana hivi Tume hili la Uchaguzi la CCM litakubali kuwapa nchi hii watu wengine wasiokuwa MiCCM
 
Hilo swali zuri msitegemee kuingia ikulu. Hivi mbona huitaji hata shule kujua kuwa waliomkataa wapinzani 2010 ndio hao wapiga kura 2015? Wangekuwa wsmebadilikia tungeona kwenye chaguzi ndogo Ccm inapata kata nyingi wanaambulia 3.
 
NI habari njema kwa watanzania kwa kuzaliwa UKAWA kwani kwa hofu ya CCM kuanguka imekuwa kubwa mpaka wameanza kuweweseka.Ni kutokana na namna UKAWA walivojitambua na kukabiliana na propaganda za CCM, mfano CCM waliimaliza CUF kwa kusema ni chama cha waislamu na wakatumia staili ile ile kwa CHADEMA kuwa ni chma cha wakirsto.

Sasa UKAWA kudai watamsimamisha mgombea mmoja 2015, hiyo imekuwa shubiri kali kwa sisi kuimeza.

Ni ukweli huo tunawaomba CCM kukabidhi nchi hii kwa amani kwa UKAWA kwani wananchi hatutakubali tena wizi wa kura kwani miaka 50 ya mateso na shida sasa imetosha na sisi tunasema basi.
Kada mambo vp? Najua unawapima hawa pimbi uwezo wao wa kutafakari.kidumu chama
 
NI habari njema kwa watanzania kwa kuzaliwa UKAWA kwani kwa hofu ya CCM kuanguka imekuwa kubwa mpaka wameanza kuweweseka.Ni kutokana na namna UKAWA walivojitambua na kukabiliana na propaganda za CCM, mfano CCM waliimaliza CUF kwa kusema ni chama cha waislamu na wakatumia staili ile ile kwa CHADEMA kuwa ni chma cha wakirsto.

Sasa UKAWA kudai watamsimamisha mgombea mmoja 2015, hiyo imekuwa shubiri kali kwa sisi kuimeza.

Ni ukweli huo tunawaomba CCM kukabidhi nchi hii kwa amani kwa UKAWA kwani wananchi hatutakubali tena wizi wa kura kwani miaka 50 ya mateso na shida sasa imetosha na sisi tunasema basi.

You better check your password, ukishabadilisha encrypt it so that none can easily access it.
 
Unazungumzia ukawa gani ni chama cha siasa au genge fulani la wahuni unazungumzia kitu ambacho hakijulikani kinafanya kazi kwa usajili gani.

Tunazungumzia chdm kile chama kilichozibana scrotum za ccm mpaka hawajiwezi
 
Back
Top Bottom