Recent content by sulty25

  1. sulty25

    Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

    Naunga mkono juhudi za Mheshimiwa Raisi lakini Jerry umezidi umbeya,unafiki na kujipendekeza huwezi lingana akili na Lissu kamwe.
  2. sulty25

    Nape: Nakuombea mjomba wangu Lissu, tulia upone kabisa kwanza kabla hujasema mengi

    Nape ana roho ngumu hivi huwa hatambui hasira za Mw/kiti wake?
  3. sulty25

    Kwanini nusu uchi unavutia zaidi kuliko uchi kamili?

    Hakika kuni za jahanamu ni watu na mawe
  4. sulty25

    Sio vizuri walinzi wa benki kuhudumia wateja

    Itakuwa CRDB KENYATA
  5. sulty25

    Nape: ndan ya Ktn news

    Ewe kiumbe dhaifu Nape Nahuye chunga ulimi wako kama bado unajipenda
  6. sulty25

    Baada ya watumishi kuahidiwa kupandishiwa madaraja na mishahara, CHADEMA matumbo joto!

    Watu wasiojulikana ndio wamepandishiwa mishahara
  7. sulty25

    Zitto: Tume ya Bunge haijawahi kukaa kujadili uteuzi wa Katibu wa Bunge. Rais Magufuli amevunja Sheria!

    Huenda Mh Ndugai akawa amerogwa maana ni mazingaobwe tu ndio yanayofanyika katika kiti chake
  8. sulty25

    Msemaji wa Polisi Live on 360, Clouds TV: Anajikanyaga Kanyaga Kuhusu Watu Wasiojulikana!.

    Huyo Afande anajuwa vizuri sana kwa nini alikuwa anakwepesha maneno na anajuwa pia akiwa straight nini kingemkuta
  9. sulty25

    Wazazi wafunzeni tabia watoto wenu wa kike. Tutafungwa wengi miaka 30

    Hakuna atakaye salimika zama hizi isipokuwa Bashite tyu
  10. sulty25

    Lowassa could've done better...

    JPM japo ana dosari ila amejitahidi kupita kiasi kwa yale mazuri
Back
Top Bottom