Recent content by sulemramba

  1. sulemramba

    Waraka wa malipo ya kazi za ziada

    Habari wadau wa jf Naomba mdau anisaidie waraka wa kazi za ziada (extra duty na ovetime) Kwa watumishi wa kada za afya km lab techlgst,clinical officer na manesi
  2. sulemramba

    Kuhama kituo cha kazi

    Kwa mtu aliyetayal hata hakiwa pwani,dar es salaam
  3. sulemramba

    Kijana anaitaji uhamisho

    Kwa mtu aliyetayal hata hakiwa pwani,dar es salaam
  4. sulemramba

    Kijana anaitaji uhamisho

    Habari ,kijana anatafuta mtu kubadilishana nae kituo cha kazi fani ya MTEKNOLOJIA MSAIDIZI(MAABARA) Kutoka singida Kwenda Tanga Kwa mtu alietayal kutokea tanga kuja singida tuwasiliane PM
  5. sulemramba

    Naomba kusaidiwa kujia namna Interview EWURA zinavyofanyika

    Wamekujulishaje mkuu?? Kila nikiomba huwa sipati mrejesho
  6. sulemramba

    Kuhama kituo cha kazi

    Habari ,kijana anatafuta mtu kubadilishana nae kituo cha kazi fani ya MTEKNOLOGIA MSAIDIZI(MAABARA) Kutoka singida Kwenda Tanga Kwa mtu alietayal kutokea tanga kuja singida tuwasiliane PM
  7. sulemramba

    Matokeo ya "Oral Interview" pale WCF

    Written ya mwez wa 3 Mmeshaitwa oral?? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. sulemramba

    Mwanadada Witness naona kaanza kufata nyendo za Gigy na Amber Lulu

    Hahahahah Sent using Jamii Forums mobile app
  9. sulemramba

    Waislamu waitikia kauli ya Lowassa, waijia juu serikali kuhusu mashehe wa uamsho

    Huyu hakamatwi hata ipite mwaka Kwa sababu ni mtu wao Angekuwa ponda angekamatwa.. Huyu si mtu mzuri kwa waislam Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
  10. sulemramba

    Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

    Hakuna kiarabu hapo kachora vikatuni tu,ameliwa huyo.
  11. sulemramba

    Serious man needed baadae awe mume

    Duuh
  12. sulemramba

    I need relationship advice

    Mmmh ,poleh
  13. sulemramba

    Mume HIV+ anahitajika

    Kila la kheri umpate mapema ramadhan hii mpate kula futari pamoja
Back
Top Bottom