Recent content by suleiman noor

  1. suleiman noor

    PreGE2025 Sheikh Yakubu Saburia: Amani tuliyonayo mnaona haitoshi, waulizeni Yemen, Libya, Palestine, Syria na Iraq

    Amani ni muhimu sana lakini bila haki hakuna Amani Amani inabebwa na haki
  2. suleiman noor

    Tumeanza kuishi kama wanyama, wakati wa ajali badala ya kusaidia watu waliopata ajali wanawaibia!

    Mimi nilipata ajari wakanivua viatu naona kabisa wakaondoka
  3. suleiman noor

    Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara

    Lakini pamoja na hayo wewe kwanza umebesha mimba amezaa ndo unaenda kutambulisha kwenu sasa huyo ni mchumba au mkeo bado ndoa tu 😂😂😂😂😂
  4. suleiman noor

    Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara

    Mama kama mama akikaa na mkwe zaidi a mwezi ni kosa lazima atatoa kasoro usizo ziona wewe kwa hiyo maamuzi yapo kwako na wewe kuona hizo kasoro au kuzifumbia macho mambo yakawa mbele kwa mbele
  5. suleiman noor

    Waziri Nape: Msinunue Vocha kwa bei tofauti na iliyoelekezwa na Serikali

    Nchi hii inafurahisha sana kila siku kiongozi anatoa maagizo
  6. suleiman noor

    Amnyonga Mwanaae Hadi Kufa Huku Akijirekodi, Kisha Apiga Selfie na Mwili Wake

    Ndugu yangu mwenye mahusiano ilo swala kupima akili kujuana tabia ni swala moja gumu sana na wewe kama Umeoa/Umeolewa nafikiri hilo swala hukulipa mkazo watu wanabadilika sana unavyo kuwa unamfikilia sivyo alivyo bari yupo yeye kama alivyo
  7. suleiman noor

    Mchechu: Kuna wizi mkubwa kwenye Mwendokasi katika malipo ya ‘cash’

    Waliweka mashine za kuscan tiket zote wakavunja vunja unafikili kwa maana ipi waneka eti mtu anakaguwa tiketi anachana nusu
  8. suleiman noor

    Ofisi imemchagua mke wa rafiki yangu aende training Marekani mwaka mmoja. Jamaa yangu yupo njia panda

    Mambo mengine ni kumuachia mungu na nafisi ya muhusika anae kwenda huko mpe rukusa tu
  9. suleiman noor

    KERO Responded Shule ya Msingi na Sekondari Goba Mpakani zinawarudisha nyumbani na kuwachapa wanafunzi wasio na hela ya chakula

    Mimi ambacho najiuliza mpaka sasa walimu kumchapa mtoto kisa hana hela ya kutoa kwa kitu kinachotakiwa shuleni huwa inamaanisha nini hapo ninapo shindwa kuelewa
  10. suleiman noor

    Mume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani

    Hilo la kutorudishiwa hiyo pesa nafikiri ulitakiwa ulitambuwe mapema kabisa lakini sababu hauna jicho la tatu hakutambuwa hilo na mumeo kutokuktafuta kisha Ona wewe ni bagas Huna manua kwake zaidi kumsababishia umasikini sasa pambana na hari iliyo chaguwa
  11. suleiman noor

    Kero ya ubovu wa barabara ya Majohe Dar es salaam

    Barabara zetu za majoe bomba mbili ni changa moto kubwa sana nafikiri tumekosa mtetezi wa hiyo hari
  12. suleiman noor

    PreGE2025 LGE2024 Unalichukuliaje suala la Wanasiasa kujitokeza Majimboni kutoa zawadi na kutatua kero za wananchi kwa mwaka huu?

    Swala la barabara ni tatizo kubwa pembezoni na viongozi wanaangalia tu km 4 unatumia 2000 nauli
Back
Top Bottom