PreGE2025 Sheikh Yakubu Saburia: Amani tuliyonayo mnaona haitoshi, waulizeni Yemen, Libya, Palestine, Syria na Iraq

PreGE2025 Sheikh Yakubu Saburia: Amani tuliyonayo mnaona haitoshi, waulizeni Yemen, Libya, Palestine, Syria na Iraq

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Udikiteta wa mkoloni kaburu mama iddy Amin Dada toka Zanzibar kuikalia Tanganyika kimabavu kuwaonea kuwatesa kuwanyanyasa kuwabambikia kesi za uongo kuwateka kuwaua wapinzani na kibaya zaidi kuiba pesa za umma kukwapua bilion 15 kazi maalum kuwapa Amos makala, Bashungwa, IGP na chawaccm wazitumie kudidimiza Demokrasia, na zingine wamegawana kienyeji huku Mbowe akipewa mgao kwa kazi ya kuwauzia ccm magalasa G55 na ibirisi wa ccm wameyasokomeza huko chauma ubwabwa na kuendelea kuyalisha kuyalea kuyagharamia kila kitu kwa pesa za walipa kodi, Muungano ufe Tanganyika idai uhuru wake kabla Dikiteta Mkoloni Kaburu toka Zanzibar hajawamaliza watanganyika kwa kuwatoa kafara kwa njia za utekaji wa Polisiccm
 
Mkoloni toka Zanzibar anawateka na kuwaua watanganyika kuna Amani hapo?
 
Kwani kitendo cha wacristo kuruhusu ndoa za jinsia Moja kupitia makanisa yote Duniani sio vurugu? Au ujui kuwa mfumo Cristo ndio chanzo cha machafuko duniani
Yemen inapigana na Saudia kule Sudan Dafur wanauana wenyewe kwa wenyewe hata Somalia Syria kote ni wenyewe kwa wenyewe
 
IMAMU wa Msikiti wa Masjid Noor uliopo chini ya BAKWATA Bariadi, Mkoani Simiyu, Sheikh Yakubu Saburia, ameeleza kuwa amani ya nchi haipaswi kuhubiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa au vyama, bali kama tunu ya kitaifa inayopaswa kulindwa na kila mmoja.

Akizungumza wakati wa swala ya Eidi-al-Adh-ha, Sheikh Saburia amesema Tanzania ina amani, lakini baadhi ya matamshi na mienendo ya kisiasa vinaashiria kutokuwa na dhamira ya kuitunza.

"Sisi tunayo amani, lakini tunaona kwamba haitoshi. Tunaona tunaanza kuichezea hii amani tuliyonayo, kama vile tunataka tufike mahali pa kukimbizana kama ambavyo wanakimbizana mataifa mengine," amesema Sheikh Saburia.


..GENGE LA WATEKAJI na wafadhili wao ndio wanaovunja HAKI na kuhatarisha amani ya nchi yetu.
 
Dini hubiri Amani tumia Lugha yako Asilia siyo kiaraabu, kumbuka waraabu si watu wema si watu wasitaarabu hujilipua wana Roho za ajabu, Uislam safi hubiri kwa lugha ya Kiswahili pekee bila kuongea kiarabu kwani kutumia kiarabu ni kuabudu lugha ya Mwarabu, wakiristo hawatumii lugha za wazungu walishatafasiri vitabu vyote kwa Kiswahili ili Dini iwe na uhalisia wa nyumbani
 
IMAMU wa Msikiti wa Masjid Noor uliopo chini ya BAKWATA Bariadi, Mkoani Simiyu, Sheikh Yakubu Saburia, ameeleza kuwa amani ya nchi haipaswi kuhubiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa au vyama, bali kama tunu ya kitaifa inayopaswa kulindwa na kila mmoja.

Akizungumza wakati wa swala ya Eidi-al-Adh-ha, Sheikh Saburia amesema Tanzania ina amani, lakini baadhi ya matamshi na mienendo ya kisiasa vinaashiria kutokuwa na dhamira ya kuitunza.

"Sisi tunayo amani, lakini tunaona kwamba haitoshi. Tunaona tunaanza kuichezea hii amani tuliyonayo, kama vile tunataka tufike mahali pa kukimbizana kama ambavyo wanakimbizana mataifa mengine," amesema Sheikh Saburia.

Huyu naye Shekh chawa tu, kwani hajui hayo machafuko ya nchi alizozitaja yalitokana na nini?

Yale machafuko yalianza mwaka 2011 na yalianzia Tunisia. Na yakaenea nchi zote za kiarabu. Na aliyeleta hilo vuguvugu ni mtu mmoja tu. Mohamed Bouaziz.

Asidanganye waumini wake eti yalisababishwa na Vyama vya upinzani.

Kama serikali inaendeshwa kama familia, watu wake wanakufa na kupotezwa tutegemee nini?

Hawa viongozi wa kidini nao wamekuwa wanauchawa na ujinga mwingi sana na akitokea mtu kama Bishop Gwajima akizungumza hali halisi anaonekana ni adui.

Watu wamechoka sana liwalo na liwe tu.
 
Ukimuliza mtanzania yeyote angependa kuishi wapi kati ya Tanzania au uingereza ( ulaya);atachagua uingereza.jiulize kwanini! Nchi za ulaya miaka ya 1848 zilikuwa na vuguvugu kama hili la no reforms no election kwasababu ya unfair elections kwa wakati huo. Ndio maana nchi za ulaya zimeendelea na kila mtu anazitamani. Tusijifiche kwenye kichaka Cha amani huku tunauana na kuibiana kura
 
Ibirisi shetani wa ccm wanawatesa wapenda haki na sasa mwisho wao umewadia
 
Kwani kitendo cha wacristo kuruhusu ndoa za jinsia Moja kupitia makanisa yote Duniani sio vurugu? Au ujui kuwa mfumo Cristo ndio chanzo cha machafuko duniani

Kwa hiyo mfumo Islam ndio suluhisho? Swala ambalo linahangaisha ni kwamba kwa nini Waarabu wengi yakitokea kwao wanakimbilia Ulaya, Marekani na Canada?
 
Back
Top Bottom