Recent content by Sule Watanga

  1. S

    Moto mkubwa wazuka Israel, waunguza vituo vya jeshi

    Hata kule Sodoma pia kulikua na tetemeko la kawaida tu, wala halihusiani na Mungu, ila jua tu ukimuuzi Mungu hua hakucheleweshi....
  2. S

    Kinana auchambua utawala wa Rais Magufuli, adai uchaguzi uliokuwa mgumu ni wa mwaka 1995 na sio 2015

    Labda angesema kwa takwimu kua mwaka 1995 upinzan ulipata kura ngapi kati ya ngapi, na wao walipata ngapi, kisha akaja kwa wabunge walikua wangapi na upinzani wangapi, kisha madiwani waccm wangapi na wapinzani wangapi, kisha tukatumia takwimu hzo kuangalia upi ulikua uchaguz mgumu wenye...
  3. S

    Hivi ni ubwege kumsaidia mke wako kufua, kupika na kwenda sokoni?

    Ni vyema kila mwanaume anaejielewa akipata mwanamke anaejielewa basi amsaidie kazi, especially issue za usafi, kupika, kufua, hata mara moja kwa wiki, inacreate urafiki na upendo wa dhati na heshima haswa kwa wanawake wanaojitambua: sio hawa wausahilini kwetu siku ukipika tu basi utayasikia mpka...
  4. S

    Moto mkubwa wazuka Israel, waunguza vituo vya jeshi

    Inamaana Musa alichukia pale Allah alipoangamiza jesho la Firaun au alifurahi,alaf unataka kumjua WHO IS ALLAH SW, atakutia mkononi tu ndo utajua kwanini wigi halivaliwi na wene akili timamu
  5. S

    Mbunge anapokuwa mvunja sheria: Mch. Peter Msigwa na ajira za watoto

    Simtetei Msigwa wala sina maana ya kumtetea ila nasema ukweli ulivyo kwa maisha ya sisi maskin. Iko hivi, kuna baadhi ya wazaz wanakua na watoto weng na wanashindwa kuwahudumia iliwepo kuwapa elim, na kazi zao kubwa wazazi hao ni kufanya kazi ndogondogo za vibarua kama vile kulima kwene...
  6. S

    Shehe Khalifa jibu maswali haya

    Zenji ni nchi na ina katiba yake, ima bendera yake, ina rais wake, inabunge lake, japo tumeikoloni na walaambo yao hayakuhusu....Katika Mkutano wa Berlin nchi zote zilizopewa makolon zilipewa sharti la kuuwa uislam na kujenga makanisa na kusambaza elim ya kishetani, elimu ya kuwafundisha watu...
  7. S

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    Miski ni mafuta tu, unapakaa na yanaharufu nzur tu labda usiipende na si dawa, but ukiyatumia sifa yake huubana uke na kukausha maji, so utatumia mpka utapoona upo sawa, ni ushauri tu sio lazima
  8. S

    Shehe Khalifa jibu maswali haya

    Mi nshasoma mpk hzo degree zenu na bado ukiingia kwene hzo ofice zenu kisa unakanzu na unaalama kwene paji la uso basi unaonekana kama umeenda kuilipua ofisi, wasome tu wanaotaka lakin ukweli utabaki palepale tu, waislam wanalalamika na lisemwalo lipo, ukiambiwa mwanao ashaanza kufanya mapenz na...
  9. S

    Shehe Khalifa jibu maswali haya

    Asiyejua kua wakati wa ukoloni waislam walilazimishwa kubadili dini ili wasome ni nani!? Na je kila ambae hakupata western education hakusoma!? hivi elimu ni western system ambayo inaisolate waislam!? na mbna hata wakisoma hyo mnayoitaka kua ndo elim bado kunakua na ubaguz kwene hizo ajira? ila...
  10. S

    Hivi dini zingine hawaruhusiwi kuchinja?

    Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetuMtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhiwa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya MwishoUislamu umehalalisha kila lililo zuri na...
  11. S

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    anza kutumia mafuta ya miski, awe anapata ukeni, yanasifa ya kukausha maji ambayo hayana ulazima, na pia hubana mishipa ya uke, kuufanya urudi udogo pia zipo tiba kama mgagani na asali huweza kumfanya mwanamke awe na utam na ladha ya kike, chingne mpende mkeo, na usijiharibu kimawazo kua sio...
  12. S

    Siasa za Udahili: Muslim University of Morogoro

    Waislam chuo kikuu kimoja tu, chawatoa macho,ipo haja ya kupunguza ubaguzi nyie wakristo mmezid wapendwa...nimeamini hata uwape nini hawatatupenda abadani, Allah hadanganyi nyie hata mumpe fact gani hataelewa bwana, sie tumesoma SAUT na akina John wamesoma MUM mbna kawaida tu, hivi vingekuwepo...
  13. S

    Ajira za Rais Magufuli zitalitikisa taifa kwa furaha

    umepuyanga tu...ukiulizwa unakoelekea cjui kama utakua unakujua zaid ya kuendelea kutiririka tu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji125] [emoji125] [emoji126] [emoji126]
  14. S

    Nimekuta mafuta ya KY na babycare kwenye mkoba wa mchumba wangu

    Kwanza lazima upunguze dhana kwene mahusiano, usiwe mtu wa kudhanidhani, dhana ni mbaya na haina matokeo mazuri,na kama unawasiwasi nae jaribu kufanya utafiti wa kina kabisa usikurupuke kumuuliza mtu maswali ya ajabu ambayo yatampelekea kudhan unamdhan vibaya, huenda ukapoteza nafas yako, ukweli...
Back
Top Bottom