Mchezaji akishakuwa mbele yako hasa kwenye position ya kufunga ukimgusa ni penati, ww kwa mawazo hakuwa faulo ile na kama jibu ni ndio ulitaka refa atoe nje ya kumi na nane?
Ww ndio hata nimeshidwa hats kukuita jina gani LA mnyama ,hoja IPO kwenye kichwa cha habari Vila hats kuingia ndani zaidi lakini huoni,kweli elimu ni muhimu sana
Hoja ya banda kuwa anaongea ni Nazi take Kama msemaji Wa club hujainisha anashusha mpiira kivipi,na mfano uliotoa Wa samweli etoo unadhani matatizo yake yanafanana na banda,kutoa maoni ni haki ya banda na pia kujibu maoni ni haki manara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.