Wafahamu malaika na kazi zao

Wafahamu malaika na kazi zao

Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....
Ahsante kwa elimu mkuu.Hiyo NATO imenishtua; aidha sina elimu, vinginevyo umeleta mbwembwe.
 
Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....
Kanisa Katoliki linatufundisha kuwa Malaika waliotajwa kwa majina na ambayo tunaruhusa kuwataja kwa majina yao kwenye maombi ni malaika Mikael, Gabriel na Raphael ambao wametajwa kwa majina kwenye Biblia.

Kitabu cha Enock kimetaja majina mengine ambayo Kanisa haiyakubali sababu hayana uhusiano na maandiko mengine matakatifu.

Kitabu cha Enock ni moja ya vitabu vilivyokataliwa na Kanisa kwasababu nyingi ikiwemo hilo la kutaja majina ya malaika kinyume na maandiko mengi yenye uvuvio wa Roho Mtakatifu.

Pia hakuna uthibitisho wowote kuwa kile kitabu kiliandikwa kweli na Enock. Kuweni makini sana na hizi elimu maana shetani anatumia njia nyingi kujipenyeza.
 
hao wazee 24 wanawake ni wangapi na wanaume ni wangapi?
Madam unajua kusoma na kuandika na Biblia imeandikwa kwa kiswahili ni jambo jema ukasoma mwenyewe.! Imeandikwa katika ufunuo wa Yohana.
Binafsi sijui kusoma kiarabu hivyo siwezi kuwa na hoja pingani na wale wanaojua kiarabu
 
Kama mabawa mawili yanafunika dunia akifungua yote si mpaka oxygen inaisha kabisa, duuuuu lete picha kwanza
 
Kama mabawa mawili yanafunika dunia akifungua yote si mpaka oxygen inaisha kabisa, duuuuu lete picha kwanza
Je unajua kwamba malaikul Mauti yaani Malaika mtoa roho au Izraill anaishika Dunia kama vile wewe inavyokishika kisahani cha chai?
 
Malaika Ishmael ni kiongozi wa Malaika wa Mbingu ya kwanza.
 
Back
Top Bottom