Recent content by sudy azizi

  1. sudy azizi

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Nauza TV Samsung inch 55, bei kitonga

    Ipo hisense inch40 Nikuongezee ngap kaka
  2. sudy azizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kilichotokea weekend hii kati ya mimi na binti alokula nauli yangu wiki mbili zilizopita. Mabinti kuweni na adabu na hela za wanaume rijali, mtaumia

    Dah kweli kaka wewe ni cheknoris Hawa ndio dawa yao
  3. sudy azizi

    JamiiForums Tanzania Nazi za Azam na GSM zinatoka nje ya nchi, za kwetu hazitoshi au?

    Hilo nalo neno mzee
  4. sudy azizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto wa 'single mama' kizazi cha Leo kisicho na malezi

    Nakuelewa san mkuu
  5. sudy azizi

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti ya bei za madirisha Aluminum kwa rangi zake?

    Sasa hivi kulingana na bajet profile zmepanda bei rangi ya grey na rangi nyeupe kidogo ndio ipo chini na ndio watu weng san wanatumia kuwekea majumban, rangi nyeusi na rangi ya mbao ndio zipo juu ila mbao ndio ipo juu zaid kama bajet yako ndogo weka sm8 na chague rang hizo mbili ila zingne zpo...
  6. sudy azizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ivi ukiota mwanaume usiemjua anakubusu mdomoni kwenye ndoto ina maana gani?

    Hapo kuna mawili anaweza kua jini mahaba au jini afiriti hasa afiriti ndio anatumia sura za watu unao wajua na usio wajua na huyu jini huwa anatengenezwa na mtu kw kaz maalum, hasa nyie wanawake huwa mnakubw san na huyu mdudu wa kutumw kw lengo la kuaribu maisha yako. Hapo nakushaur san kemea...
  7. sudy azizi

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mchele nusu nazi tano
  8. sudy azizi

    JamiiForums Tanzania Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

    kwamba jamaa alikua anasema uwongo china tv inch 50 kw lak1
  9. sudy azizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa mawazo kuhusu huyu binti

    Hapo kipengele kak swala la kuoa sio shida shida ni yeye huyo mwenzie ataweza kujizuia kw mzaz mwenzie kutokuwasiliana maana mim mwenyew nipo kweny ndoa mwak wa5 sas na tuna watot wawli nae ana mmoja wa wa nje ya ndoa mwanzo walikua hawaailian ila sas wanawasiliana. Ila kwngu sijal maan nishakua...
  10. sudy azizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katika hali gani unaweza kulazimika kuoa mwanamke mwenye mtoto?

    Nimekuelewa kaka
Back
Top Bottom