Recent content by subiray

  1. S

    Rais Magufuli ni tumaini kubwa la watanzania

    MPAKA SASA RAIS MAGUFULI AMEKUWA MFANO KILA KONA NCHI YETU IWE KIJIWENI IWE KANISANI IWE MSIKITINI IWE KAZINI PAMOJA NA HATA KWENYE DALADALA KWANI WATANZANIA TULIOWENGI TUMELIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WAKE NA TUNAIMANI ATAENDELEA HIVYO PIA NCHI ZA JIRANI MH RAIS MAGUFULI AMEKUWA GUMZO NA JINA...
  2. S

    CCM waacheni wachaga waishi kwa amani!

    HAHAHAHAHA CCM OYEEEE WALA HAINA SHDA NA MTU KWASASA NI KAZI TU
  3. S

    ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2015 - 2020.

    NI LAZIMA UJUE MIEZI MIWILI NI MIDOGO KATIKA KUJIANDA KUPANGA MIKAKATI YA NCHI MPAKA SASA KILA KITU KINAENDA POA NA TUNAIMANI RAIS MAGUFULI ATATULETEA MAENDELEO MAKUBWA NDANI YA TAIFA LETU KAMA TUNAVYOONA
  4. S

    ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2015 - 2020.

    KITU KINAWEZEKANA ENDAPO MKIWA NA MIPANGO NA USIMAMIZI MAKINI MIMI NAAMINI KWA MIPANGO NA MIKAKATI ILIYOPO YOTE YANAWEZEKANA KINACHOWEZESHA HAYO YOTR NI PESA TU KAMA UNAPESA HATA KUHAMISHA MLIMA INAWEZEKANA WEWE
  5. S

    ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2015 - 2020.

    ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2015 - 2020. (g) Kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar Es Salaam kwa kufanya yafuatayo:- Kuanza ujenzi wa barabara za juu (Flyovers) kwenye makutano ya barabara maeneo yafuatayo:- TAZARA Ubungo Chang’ombe Uhasibu KAMATA Morocco Mwenge Magomeni...
  6. S

    KAMA CCM WANAPENDWA KWANINI WANAOGOPA UWEPO WA TUME HURU?

    TUME HURU NI IPI NA INAFANANA NAJE? NAJE UNAUHAKIKA GANI KAMA CCM INAWOGA HUO TUME HURU NI ILE INAYOHAKIKISHA KILA CHAMA KINASHIRIKI KATIKA UCHAGUZI KWA KUFUATA TARATIBU ZOTE
  7. S

    CCM waacheni wachaga waishi kwa amani!

    CCM HAINA TATIZO NA WACHAGA NA UNAPOONGELEA WACHAGA MBONA NDANI YA CCM WACHAGA WAPO WENGI SANA WACHAGA GANI UNAO WAONGELEA
  8. S

    Lowassa ang'aka * Ni kuhusu kunyang'anya mlinzi wake

    Apumzike tu mzee aache siasa kwasasa maana muda umemtupa
  9. S

    Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020

    ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2015 - 2020. (g) Kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar Es Salaam kwa kufanya yafuatayo:- Kuanza ujenzi wa barabara za juu (Flyovers) kwenye makutano ya barabara maeneo yafuatayo:- TAZARA Ubungo Chang’ombe Uhasibu KAMATA Morocco Mwenge Magomeni...
  10. S

    Kardinali Pengo amkemea Lowassa

    Tujitokeze kwa wingi kesho tukamstahafishe lowasa siasa na tumchague magufuli kuwa rais wa tanzania
  11. S

    Kardinali Pengo amkemea Lowassa

    Ni baada ya kuona lowasa anataka kuwagawa watanzania kwa udini na ukabila magufuli ndiye rais
  12. S

    Asante sana Dr. JP. Magufuli

    Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Back
Top Bottom