MPAKA SASA RAIS MAGUFULI AMEKUWA MFANO KILA KONA NCHI YETU IWE KIJIWENI IWE KANISANI IWE MSIKITINI IWE KAZINI PAMOJA NA HATA KWENYE DALADALA KWANI WATANZANIA TULIOWENGI TUMELIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WAKE NA TUNAIMANI ATAENDELEA HIVYO
PIA NCHI ZA JIRANI MH RAIS MAGUFULI AMEKUWA GUMZO NA JINA...
NI LAZIMA UJUE MIEZI MIWILI NI MIDOGO KATIKA KUJIANDA KUPANGA MIKAKATI YA NCHI MPAKA SASA KILA KITU KINAENDA POA NA TUNAIMANI RAIS MAGUFULI ATATULETEA MAENDELEO MAKUBWA NDANI YA TAIFA LETU KAMA TUNAVYOONA
KITU KINAWEZEKANA ENDAPO MKIWA NA MIPANGO NA USIMAMIZI MAKINI MIMI NAAMINI KWA MIPANGO NA MIKAKATI ILIYOPO YOTE YANAWEZEKANA KINACHOWEZESHA HAYO YOTR NI PESA TU KAMA UNAPESA HATA KUHAMISHA MLIMA INAWEZEKANA WEWE
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2015 - 2020.
(g) Kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar Es Salaam kwa
kufanya yafuatayo:-
Kuanza ujenzi wa barabara za juu (Flyovers) kwenye makutano ya
barabara maeneo yafuatayo:-
TAZARA
Ubungo
Chang’ombe
Uhasibu
KAMATA
Morocco
Mwenge
Magomeni...
TUME HURU NI IPI NA INAFANANA NAJE? NAJE UNAUHAKIKA GANI KAMA CCM INAWOGA HUO TUME HURU NI ILE INAYOHAKIKISHA KILA CHAMA KINASHIRIKI KATIKA UCHAGUZI KWA KUFUATA TARATIBU ZOTE
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2015 - 2020.
(g) Kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar Es Salaam kwa
kufanya yafuatayo:-
Kuanza ujenzi wa barabara za juu (Flyovers) kwenye makutano ya
barabara maeneo yafuatayo:-
TAZARA
Ubungo
Chang’ombe
Uhasibu
KAMATA
Morocco
Mwenge
Magomeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.