Recent content by Subira

  1. S

    GE2020 Maandamano ya tarehe 2 Nov: Je, Ni Demokrasia au waliokosa wanapigania Maslahi Binafsi?

    We andamana tu lakini sie hatuandamani na wala hatuamini katika hilo sie ni amani tu
  2. S

    Jamaal April kaipeleka The Storybook Next Level

    Na wao wasomi waandike yao wanayoona yanamaana zaidi
  3. S

    Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani (CHADEMA& ACT-Wazalendo) kwenye mgomo wao na maandamano

    Ningeshauri askari wawaache waandame mpaka wachoke wasiwaguse ngo wawalinde tuone mwisho wao ,nonsense miaka kumi na ushee bado mnaona mna haki tuu who are uuu
  4. S

    Kwa niliyoyashuhudia katika Uchaguzi huu, Poleni viongozi wa Upinzani

    Wanajisahau sana hawa ikifika uchaguzi wanatuona wajinga kwanza katiba iwekwe 5 years tu 10yrs for useless people wanaturudisha nyuma sana km arusha tumerudiii reverse ya hatariiii
  5. S

    Kwa niliyoyashuhudia katika Uchaguzi huu, Poleni viongozi wa Upinzani

    Kwa kuongezea tu watu wamewaelewa hao wapinzani hawana tija ni maneno tu na kujijazia ruzuku matumboni (kujitajirisha)hawatusaidii lolote sisi sio wajinga wajinga ni nyie mnaotetea madhalimu, tuonyesheni mpinzani aliyehamasisha jimbo lk kubadilisha maisha ya wakazi au upinzani ni mdomo tu?
  6. S

    Pesa ilikuwa ndiyo sifa ya kwanza kwenye kura za maoni CCM

    Naunga mkono mia fil mia itolewe mbali hii wajumbe thing
  7. S

    GE2020 Sifa Kuu Tano (5) za Bernard Kamillius Membe Zinazoonesha kwamba hafai kuwa Rais wa Nchi

    6. Akitoa ahadi hatimizi Huyu mtu. Mjivuni sanaaaaaa
  8. S

    Mbwana Samatta ni mchezaji wa kawaida sana anakuzwa mno

    HASAD NI UGONJWA Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom