Recent content by subash

  1. S

    Kupigwa kwa Mwandishi wa Habari: Naweza kuwatetea Polisi

    Ndugu tupe hiyo sheria ya nchi inayompa kibali polisi kupiga raia.
  2. S

    Tanzia: Aliyekuwa muuguzi wa hospitali ya Taifa Muhimbili (Aunt Kessy) afariki dunia

    Mkuu Pdidy mazishi ya sister Kessi aliyekuwa muuguzi muhimbili yanafanyika lini???
  3. S

    Tanzia: Aliyekuwa muuguzi wa hospitali ya Taifa Muhimbili (Aunt Kessy) afariki dunia

    Ni sister Kessy. Mke wa Profesor Egbert Kessy ambaye ni Provost Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMC). Hapo je umeelewa kidogo au bado?????
  4. S

    Tanzia: Aliyekuwa muuguzi wa hospitali ya Taifa Muhimbili (Aunt Kessy) afariki dunia

    Duu jamani poleni wafiwa. Sister Kessy alikuwa ndio incharge wa Mwaisela ward 4 alikuwa mkarimu sana sister yule. Namkumbuka alikuwa anakaa magorofani muhimbili kabla ya kuhamia mabibo baada ya kustaafu. Siwapati picha wanawe watakavyoumia kina Doreen, Lily, Dennis,Evance na Glory. Tumecheza...
  5. S

    KKKT: kufungisha ndoa mnatoza 100,000/=!

    Ndugu yangu Kyalosangi usiwe na jazba kama ulivyosema tuchangie bila jazba, wewe mpaka kufikia umri huo umeshatoa laki moja moja ngapi tena kwa mambo ya kawaida tu??. Hiyo laki moja mhasibu wa usharika husika atampatia risiti na mwanzoni mwa mwaka ujao wakaguzi wa nje toka makao makuu ya...
  6. S

    KKKT: kufungisha ndoa mnatoza 100,000/=!

    Kwanza ni aibu saaana kwa wewe Mzee wa Kanisa kutokujua mambo kama haya. Kifupi umeshafeli katika hilo na ninavyowajua walutheri hauna hata miezi mitano tangu uchaguliwe si ajabu hata matangazo ya jumapili haujasoma hata mara moja. Unagopa kumpigia simu Mhunaji shame onu mzee wa kanisa!!!! Mimi...
  7. S

    How FBME Bank Has Been Used to Facilitate or Promote Money Laundering in Tanzania...

    Wajameni mimi ndio kwanza naiona hii post nimestuka saana. Nisiende mbaali kwani AUDITORS wa FBME ni kampuni gani?? Huend pa Auditrs ni full magumash.
  8. S

    Kwa nini ni kwa soda tu sio kwa bia??

    Wana jf habarini za jmosi, naombeni kupewa uelewa ni kwa nini baadhi ya watu huwa wanapenda kuchanganya soda na maji?? Ila katika pitapita zangu hata kwetu Bombay sijawahi ona mtu akichanganya bia na maji. Kwa wanaojua hili naomba kupewa majibu.
  9. S

    MCD wa Twanga Pepeta afariki dunia

    Habarini za mchana wana JF. Aliyekuwa mpiga drums wa bendi ya Twanga Pepeta ndg. Soud Mohammed aka MCD amefariki dunia huko katika hospital ya KCMC alipokuwa amelazwa. Soure: Kongozi wa Twanga Pepeta. Mungu ailaze roho yake mahal pema peponi.Amen
  10. S

    Ombi: Kwa wataalamu wa mambo ya Sheria naombeni msaada

    Salaam wana JF, Leo asubuhi nimekamatwa na askari wa usalama barabarani nikiwa naendesha gari. Vibali vyote ninavyo tatizo ni kioo cha mbele (Wind Screen) ina ufa nikaambiwa hili ni kosa na huna budi kulipa faini ya Tshs 30,000. Kwa upande wangu sikuona kama ni kosa kioo kuwa na ufa...
  11. S

    Kutoa hewa chafu mnaitaje kwetu umepumua

    Naona shule bado kufunguliwa, topic kama hii inatusaidia nn hapa. Tuweke mada ambazo ni value adding not this nonesense topics. Mods plse femove this topic
  12. S

    Eneo la Oysterbay Police lauzwa kwa mwekezaji!

    Salam wana jf, Nimepata habari kuwa eneo la kituo cha polisi Oystebay limeuzwa kwa mwekezaji, na mkataba puia wameshasaini na serikali ili aweze kujenga Hoteli ya Kitalii. Mwenye taarifa za undani zaidi tafadhali atujuze ss tunaoishi nje ya jiji hilo linalosifika kwa foleni. Nawasilisha
  13. S

    Wakuu nipeni mambo ya simba na kcc

    The match was SIMBA Vs URA (Uganda Revenue Authority) and results was Simba 0 URA 1.
  14. S

    Wakuu nipeni mambo ya simba na kcc

    Kutokuwa na redio/tv haituhusu. Kwa taarifa yako Simba hawajacheza na KCC. Labda kama unaongelea Simba ya nchi nyingine sio TZ
Back
Top Bottom