Ilinitokea mwaka jana Exim bank zilikuja sms za nime purchase bidhaa kama 44,500 zilikuwa 6 na 88,000 nazo 10 aisee nilihisi kuzimia maokoto yenyewe ya kuunga unga nilifuatilia nikawarefunded sema utafuatilia mpka ukome
Kama sex life kwenye ndoa ni mbovu,mwanaume lazima atachepuka tui
Kama mke ana low libido hii ndo hatari kabisa kabisa
Mke na ampe mumewe chakula cha usiku ipasavyo vinginevyo awe tayari kusamehe mara nyingi zaidi kwa sababu mwanaume atachepuka sana tuu.
Baba alizaliwa 1973 na 79 mimi nikazaliwa 1994
Baba na mama wote walishatanguliwa mbele za haki, baba ndio aliyeanza 2000, akamwacha mama mjane na mtoto wa miaka 6. Kwa umri Mungu aliyomjalia baba kuishi duniani si hapa alikuwa kajitahidi kwa kiasi kupambania familia kwa nyumba 2 na mashamba 3...
Patigo alikuja mbabe wake anayemjua kila kitu mpaka uchumi wake ulivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akamwambia tulia vijana wapate burudani nitakuharibia...
Patigo akaufyata na akapotea mpaka leo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.