Sikushauri utumie hizo antivirus ni vyema ukatumia LINUX OS ya aina yoyote, kama vile UBUNTU,FEDORA,MEANT na nyingine nyingi, wala haziuzwi na ni bure kabisa, na haziwi affected by any virus ukitaka niambie ninayo fedora nitakutumia.
jinsi ya kuweka program kwenye cd mpaka ikawa installed kwenye computer za watu wengine. Namaanisha kama nimeandika kwenye text pad na nika compile na nika run, lakini hii program yangu nataka niiweke kwenye computer ili itumike kwa kila mtu, na nisiandike program nyingine ya muundo huo...
nimeshamaliza kuandika progam yangu, ila nataka niiweke kwenye cd ili watu wengine waweze kuinstall, nifenyeje? from the start to stop, please give the algolithim of that problem, thanks for your cooporation, together guys.
kaka tupo? ila support hatuna utakuta wanafunzi wengi tunazijulia computers chuoni hii inatupa shida, utakuta mwanafunzi wa mwaka wa kwanza anashindwa hata program ya display "hello world" awe wa java hata c++ au language nyingine, kwa kweli tunahitaji tujitahidi sana, na sera ya elimu tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.