Silas Haki
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 368
- 39
Ninakukubali mkuu kwa kazi yako nzuri
Ninakukubali mkuu kwa kazi yako nzuri
seriously i hate the use of the word 'serikali', hata sekta binafsi haina mwamko wa ku-finance start-ups. nobody is ready.... just nobody!
@mdeesingano
Wow!! good speech---Opensource?, kuna watu (UCC) walijaribu kufanya ili jambo lakini wanoko vibaya--wanajifanya kama wako "Microsoft Confidence Room"--Hatimae wame blow.LOL--Ila imani yangu ni kua kwa moyo mmoja bila kujali "Magamba na idadi ya mabanda mtu aliyosoma" tunaweza!!
Mkuu--ningependa kujua kazi yako ipo wapi?--or not published yet?
Then nimegundua kua maprogrammer wengi Tanzania ni wa Web zaidi--Good--But na sisi wa software tujikaze--mfano mdeesingano akiunda forum mimi nitaunda software ya kumenagi hiyo forum (like Mig33) apo tutafika.