Maprograma wa Tanzania mupooo?

seriously i hate the use of the word 'serikali', hata sekta binafsi haina mwamko wa ku-finance start-ups. nobody is ready.... just nobody!

tatizo hizi secta binafsi na wao wako kimaslai zaidi wanangalia watapata faida gani kwa short-term
 
Nathani mabro na masista wangu--kilichobaki ni kukaza buti zetu na kujikuza wenyewe japo kwa 20%--kama hao matumbo hawatujali---From my experince katika mambo kama haya si rahisi kupata support ya mwanzo toka home counrty!!!--Mfano mimi nimeanza Programming kama 3years ago na kila ninapomaliza kazi yangu, hupenda niwaoneshe marafiki zangu-kwa mara ya kwanza huifagilia kwa sana tu, ila wakijua kua nimefanya mimi, hapo huanza kuponda---But "Thanks God" nimepata support toka kwa NOKIA(watu wa bara jengine), kwa sasa ninapomaliza kazi yangu tu, najua nani nimoneshe mwanzo na anaeweza kunipa support ya money and others.Let us make strong IT friendship ;)
 
Mi nadhani hapa tumekaa vizuri ila shida yetu sisi wana ICT au kuwa more specific ni sisi developers tunakosea mambo kadhaa ambayo yanaturudisha nyuma... Nayo ni:-

1. Tusibaki kuilaumu serikali na watu binafsi, NO ONE IS WILLING TO INVEST ON A PROJECT/SECTOR THAT HE IS NOT SURE OF A RETURN. Kila mtu au serikali haiwezi kutoa mahela na kuweka kwenye sector ambayo haijui mbele wala nyuma yake, yaani kuweka hela kwenye sekta ambayo haina muelekeo... What I mean here is WE NEED TO ADVERTISE OUR SECTOR, TUONYESHE KUA SECTOR YETU NAYO NI DILI NA INA MASLAHI...

2. Pointi yangu ya pili inaendana na ya kwanza kua kuonyesha kua sector ina dili ni kwa njia ya KUFANYA PROJECT ZA PROGRAMMING AMBAZO ZINAGUSA WATANZANIA, ambazo zitawafanya watanzania wajue programming ni muhimu... Na wao kujua kua programming ni muhimu ni kwa sisi kufanya project za programming ambazo zinawagusa watanzania...

3. Programmers tuna tabia ya kuogopa kuibiana idea hivyo kila mmoja anajifungia na nyenzo (computer) yake ndani ya chumba (hom, ofisi) akikomaa na kitu bila kushauriwa huku akiamini kua yeye anachofanya ni sahihi... Akikwama anatumia too much time kusolve a very simple problem ambayo angeshirikisha ingekua easy mno... Tushirikishaneni wadau, japo kwa mawazo.... HE WHO IS AFRAID OF GIVING OUT IDEAS IS RUNNING OUT OF IDEAS...

4. Tatizo lingine ni lile ambalo linawagusa most technical people... We always put too much energy on solving Technical problems rather than solving REAL WORLD PROBLEMS... Hapa ndipo panatupa shida... Utakuta hata kwenye professional meetups mtaalam anang'ang'ana kufundisha vitu technical zaidi badala ya kufundisha kua ni prblem gani jamii inayotuzunguka inayo... Yaani, BADALA YA SISI KUANGALIA MATATIZO AU SHIDA ZA WATANZANIA NA KUZIFANYIA KAZI, SISI TUNANG'ANG'ANA KUJUA ZAIDI KWANINI PHP AU JAVA HAILETI RESULT, KUJUA KWANINI INTERFACE HAIWI NZURI... Ni muhimu navyo hivi ila sasa wadau, inatubidi tuhamie kwenye kugundua YANAVYOWEZA KUWA SOLVED KWA KTUMIA PROGRAMMING.

5. STOP BLAMING SOMEONE OUT THERE FOR YOUR FAILURES, ACT POSITIVELY AND BLAME YOURSELF FOR YOUR FAILURES... This shoul be a rule for a programmer as everything is on your desk, nchi yetu wala serikali haijazuia opensource zisitumike na kutangaza kazi zetu ni sisi wenyewe kwanza then wengine watafuata...


Haya ndio mawazo yangu...

Mimi pia ni programmer, ila wa websites zaidi, kazi zangu zinakuja....

Hata mbuyu ulikua kama mchicha, pamoja tunaweza, tushirikishane!
 
@mdeesingano
Wow!! good speech---Opensource?, kuna watu (UCC) walijaribu kufanya ili jambo lakini wanoko vibaya--wanajifanya kama wako "Microsoft Confidence Room"--Hatimae wame blow.LOL--Ila imani yangu ni kua kwa moyo mmoja bila kujali "Magamba na idadi ya mabanda mtu aliyosoma" tunaweza!!
Mkuu--ningependa kujua kazi yako ipo wapi?--or not published yet?

Then nimegundua kua maprogrammer wengi Tanzania ni wa Web zaidi--Good--But na sisi wa software tujikaze--mfano
mdeesingano akiunda forum mimi nitaunda software ya kumenagi hiyo forum (like Mig33) apo tutafika.
 
@mdeesingano
Wow!! good speech---Opensource?, kuna watu (UCC) walijaribu kufanya ili jambo lakini wanoko vibaya--wanajifanya kama wako "Microsoft Confidence Room"--Hatimae wame blow.LOL--Ila imani yangu ni kua kwa moyo mmoja bila kujali "Magamba na idadi ya mabanda mtu aliyosoma" tunaweza!!
Mkuu--ningependa kujua kazi yako ipo wapi?--or not published yet?

Then nimegundua kua maprogrammer wengi Tanzania ni wa Web zaidi--Good--But na sisi wa software tujikaze--mfano
mdeesingano akiunda forum mimi nitaunda software ya kumenagi hiyo forum (like Mig33) apo tutafika.


mkuu pamoja sana, mimi naspecialize kwenye expert systems, natumia prolog. Tatizo watz wanapenda virahisi networking, web design pia lack of profesionalism kama jamaa mmoja alivyosema yani utakuta mtu anadevelop system bila kutumia methodology(SSADM,RAD,YOURDAN E.T.C). Ukiuliza hata maana yake hajui
 
nimegundua kitu, maprofessional wa IT kwanza hawajui ethics za kazi zao. (NOT RELATED)..

Straight kwa point, ni wako critical zaidi.. sio watoaji solutions, kazi ni criticise tuuuu! nikiangalie hapa si haba thread imechangaamka. lakini jamani 2eke thread ya kupost solutions uone watu kama watapost! sio solution kubwabwaja, solutions as clear deign ya plan and strategies!
 
RedSilverDog: Ethics
Huwa nasikitika sana nikisoma threads zenye lengo la uchakachuaji na kuona kuwa watu ambao wapo kwenye fani ya ICT wakiwa front line kushabikia mambo ya software piracy. Ethics kwa kweli ni muhimu sana na vigezo tunavyotumia kila siku kuwa sisi masikini kimepitwa na wakati.


HESLB walianzisha web app (please bear with me) kusaidia mambo ya kuomba mikopo. Ukiondoa ishu za mtandao kuwa "down" hiyo application kwa kweli inasikitisha kwani sijui kama kweli hiyo ofisi ilikaa na kudesign a solution.

Mimi nimeji'register kwenye hiyo site, nikajaribu kufanya application na mambo mengi tu ya information flow sikuona kama kweli yamefanyika. Unaulizwa kama wewe ni yatima then, unaulizwa mzazi anafanya kazi wapi....

Maprograma mnatakiwa kuchukua ishu kama hii na kuifanyia kazi, kama reference ambayo ni fundisho kwa organisation za kitanzania kujia nini kweli kinaweza kufanyika. Hapa wametambua kuwa kuna pengo ambalo ICT inaweza kusaidia kurekebisha lakini solution iliyotolewa sioni inamsaidia vipi mwombaji mkopo licka tu ya kumtengenezea a pdf document na kulipia 30,ooo TSH via M-PESA au other payme method.
Mimi sikuwa muombaji lakini system ime'accept my application, je kama wajanja wakiweza kuwaibia, mtawatafuta wapi? Inamaana kuwa kutakuwa na a lot of junk data na integrity of the retained information ni zero.

Nimesema "app" lakini ikawa swali, je hizo steps za mjumbe wa nyumba kumi kumi kupata saini ya mwenyekiti wa kijiji kweli zinahitajika in this day and age?
 
kaka tupo? ila support hatuna utakuta wanafunzi wengi tunazijulia computers chuoni hii inatupa shida, utakuta mwanafunzi wa mwaka wa kwanza anashindwa hata program ya display "hello world" awe wa java hata c++ au language nyingine, kwa kweli tunahitaji tujitahidi sana, na sera ya elimu tanzania ibadilishwe masomo ya computer yafundishwe kuanzia primary hapo tutafika.
 
@ kotinkarwak
Tatizo kazi hizo zote wanasukumiwa web designers, designing and logic creation ni tofauti--Tunalaumu maweb designer wakati kusoma programming tunachukia, utakuta mtu akishaelewa php na MySQL anaona anmefika top level.

Kunaticha wangu mmoja aliwahi kunambia kua napoteza muda coz nasoma programming na ni kitu ambacho hakitakiwi TZ--alinivunja moyo kwa kiasifulani ila nilipokua nasoma "self" niligundua faida yake. Kwa sasa hamna mtu atakae nambia niache programming nikamuelewa.
"Greate solution come from greate code thinkers and designers"
 
Back
Top Bottom