Recent content by Stv Mkn

  1. S

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa biashara ya kuingiza 50,000 kwa siku

    Yani unashauriwa na robot lipo new york 😂😂
  2. S

    JamiiForums Tanzania Namna gani naweza kuomba pesa za Corporate Social Responsibility kwenye makampuni?

    Nimeshaona mgodi ukisaidia nursery schools za watu binafsi Geita. Kubali kujifunza bro
  3. S

    JamiiForums Tanzania Namna gani naweza kuomba pesa za Corporate Social Responsibility kwenye makampuni?

    Si kweli acha kupotosha ukiwa na wazo linaloweza kuisaidia jamii na linaendana na sera za kampuni unapewa hela... mfano IMBEJU ni project ya mtu imechykuliwa na bank.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Unanishauri nini mimi dereva ninaeanza kuendesha Uber na Bolt?

    Tazama post ya juu nimeelezea
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Kibamba naomba mwongozo

    Popote pale hata uko nakaa ilimradi zisiwe KM nyingi kutoka barabarani.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Kibamba naomba mwongozo

    Asante mkuu, naomba nisaidie mawasiliano ya madalali kama unayo.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

    Ikitokea wewe umeshtakiwa kuwa ni shoga na mahakama ikasema ukapimwe malinda unaona ni sawa?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Kibamba naomba mwongozo

    Sawa mkuu I appreciate msaada wako 🙏
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Kibamba naomba mwongozo

    Duh mkuu hii mbona mtelemko sana. Je Kibamba ipi ni nzuri maana napofahamu ni Kibamba shule kwa mbali tu nikienda kibaha? Na kama una namba ya dalali nisaidie
  10. S

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Kibamba naomba mwongozo

    Kwa wenyeji na wazoefu wa maeneo ya Kibamba nataka kuhamia huko. Naomba mnisaidie kufahamu ni Kibamba ipi nzuri kwa mtu anaeishi maisha ya kibachela na rahisi kwenda na kurudi katikati ya jiji. Pia namna gani naweza pata chumba au nyumba ya kupanga na bei zake zipoje, kwa nyumba standard iliyo...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mfikiriavyo juu ya Humphrey Polepole sio sahihi

    Polepole hawezi kubaka mwanasiasa mwenzie mama mtu mzima. Just a little common sense.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mfikiriavyo juu ya Humphrey Polepole sio sahihi

    Moja kati ya vijana wanaweza kuwa Marais wetu baadae.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Unanishauri nini mimi dereva ninaeanza kuendesha Uber na Bolt?

    Nasema hailipi sababu maybe ya expectations zangu before na vile watu walinieleza. Kwa sasa naifanya zaidi weekend sababu ndio walau kuna pesa. Ila siku za kawaida naweza choma mafuta baadae nikilaza gari nakuta nilichopata kinarudi kujaza mafuta ya kesho so ni kama naifanyia kazi bolt. Alafu...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Unanishauri nini mimi dereva ninaeanza kuendesha Uber na Bolt?

    Kwa experience yangu mpaka sasa. Hailipi.
  15. S

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata fund au sponsorship ya ku-print kitabu changu?

    Shukrani sana mkuu, be blessed!
Back
Top Bottom