Aise we jamaa, jana nilikua iringa maeneo ya isimani, nimefanikiwa kukutana na babu yangu mdogo ambaye yeye na wazazi wake pamoja na nduguze walikua ni wenyeji wa huko, kwa wakati huo babu alikua mgambo wa kijiji akiwa ni kijana aliyetoka tu, kumaliza mafunzo jeshini, alinipa historia ya dr...
Daa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani kwenye maisha ya kawaida unakuta huna hata baiskeli ila ndotoni una vogue
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaambieni ndugu zangu tu jitahidi kuanza na kidogo tulicho nacho, tusikatishwe tamaa na watu. Kujuana na watu(connection) ni kitu muhimu inafanya urahisi wa kupata vitu mana kuna watu ukiwapigia unatafuta eneo wanakufanyia mpango au kukuunganisha na mtu mwingine, ukitafuta mashine pia...
Kwa sababu nilinunua used siwezi jua exactly utauziwa sh. Ngap ila kwa makadilio pressure pump unaweza Pata Kati ya 250000-350000
Vacum 200000-300000
Hela ya kupanga(itategemeana na sehemu) 25000-75000
Vitambaa mi nianza na vitenge nadhani utapata kiurahisi
Tank dogo mi nilinunua used kwa 30000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.