Hahahahahahaa huwa naenjoy sana nkiona nyuzi za huyu tajiri... kwake ana cold room na sio friji.. haya mwanye degree ya refrigeration anahitajika haraka
Yes, ni kwl kabisa mkuu kifo hakikwepeki unaweza ukajitunza na ndom ukafa na bodaboda n.k
Nmekusoma mzee baba endelea kutembeza ngozi na kuzichakata papuchi kwa uweledi
Huo ni ukichaa..hakuna mapenzi ya namna hio!! Labda tuu alikuwa anakupa kitu gan hasa cha totauti ambacho kwa mkeo hukuwa unakipata??? Katika vitu navomshukuru Mungu ni kunpa ubahili wa kiwango cha SGR hasa linapokujaga swala la kuhonga kwa kiwango kikubwa!
Duh hadi kwa wale malaya wa ambiance ulikuwa unaenda kuomba ugonge ngozi kavukavu? Nahisi health status yako utakuwa unaijua mkuu,sidhani na ntakuwa wa mwisho kuamini mtu anaweza kuwa na ujasiri wa kuendekeza dry kwa stranger na asiwe muumini kbsaaa wa ndomu ilihali awe haijui health status...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.