Recent content by stunna

  1. stunna

    Fundi Mbobezi wa Fridge namuhitaji. Awe na at least Degree. Malipo siyo tatizo

    Hahahahahahaa huwa naenjoy sana nkiona nyuzi za huyu tajiri... kwake ana cold room na sio friji.. haya mwanye degree ya refrigeration anahitajika haraka
  2. stunna

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Yes, ni kwl kabisa mkuu kifo hakikwepeki unaweza ukajitunza na ndom ukafa na bodaboda n.k Nmekusoma mzee baba endelea kutembeza ngozi na kuzichakata papuchi kwa uweledi
  3. stunna

    Coronapocalypse

    Mkuu rudi kwnza huku ikungulyababeshi ili mambo yakipoa urudi huko
  4. stunna

    Kisa cha Kweli: Hawara alivyonifilisi

    Huo ni ukichaa..hakuna mapenzi ya namna hio!! Labda tuu alikuwa anakupa kitu gan hasa cha totauti ambacho kwa mkeo hukuwa unakipata??? Katika vitu navomshukuru Mungu ni kunpa ubahili wa kiwango cha SGR hasa linapokujaga swala la kuhonga kwa kiwango kikubwa!
  5. stunna

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Duh hadi kwa wale malaya wa ambiance ulikuwa unaenda kuomba ugonge ngozi kavukavu? Nahisi health status yako utakuwa unaijua mkuu,sidhani na ntakuwa wa mwisho kuamini mtu anaweza kuwa na ujasiri wa kuendekeza dry kwa stranger na asiwe muumini kbsaaa wa ndomu ilihali awe haijui health status...
  6. stunna

    Historia ya kabila la Wakurya

    Ughambele ing'ana mura
  7. stunna

    Kuna tofauti kubwa kati ya michepuko wake za watu na michepuko single ladies

    Pole,naona alikuattack vbaya,nshafuta tayari bibie
  8. stunna

    Kuna tofauti kubwa kati ya michepuko wake za watu na michepuko single ladies

    Kwamba hujawahi kuliwa mpka sasa na umri huo asee mpka nkahisi akaunti yako imedukuliwa
Back
Top Bottom