Kwa kesi niliyoipata ya hawa ndugu wawili kutoka dodoma jana ilikuwa walikata ticketi ofisini toka ijumaa asubuhi na jana kuja wanakuta siti hizi hizo zimekatiwa tena na wakadai aliyekatisha mapema alisahau kujaza sehemu husika na kisha mwingine naye kakatisha siti hizo hizo
Kwakweli sikufahamu kabisa juu ya uhuni wao huu, wamenisaprise sana, kuanzia leo naanza kuwa haters wa hii kampuni maana muda safari zangu za Dar Tanga ilikuwa wao na Ratco baada ya kurejea
Nacharo walianza huduma zao kwa uzuri na walijijengea heshima kubwa kwa barabara ya Tanga to Dar na hivi karibuni walianza route ya Tanga to Dodoma.
Kutoka na kutanua huduma zake imefikia hatua ya kuajiri vijana watata na wahuni kwenue ofisi zake za Dodoma na Tanga kwani wamekuwa na utaratibu...
Hongereni kwa usahindi mzuri kabisa leo, mm nakabaliwa na changamoto nilisahau password ya akaunti ya bengalisis na kila nikifanya jitihada za kurest imekuwa sipati mresho mwezi sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.