It is a free country, baba..
We nenda tu msikitini, kanisani.... hakuna atakayekufukuza.
Mie nafuata mnuso tu. Nikisikia hafla yenye maakuli ipo kanisani navaa suti yangu ya mtumba, najivuta.
Kama hafla ipo msikitini, huyoo na kikanzu changu na baraghashia..
Wao waseme tu kwamba wametumia kodi za wananchi vibaya, serikali imeishiwa pesa na sasa wanakodolea macho fedha za wananchi zilizo katika hifadhi ya Jamii.
Wasije wakasahau tu kwamba fedha zilizoko kwenye hifadhi ya jamii sio mali ya serikali.
Piga hesabu vizuri, mshikaji.
- JKT lilianzishwa rasmi Julai 10, 1963.
- Miaka ya 70 na ya 80 mwanzoni, Bibi Shakila alikuwa akiimba na vikundi vya Lucky Star na Black Star vya Tanga (unaweza kuhakiki na Waziri Ali, mpiga kinanda wa Kilimanjaro band)
Nashindwa kuelewa kwa nini historia ya huyu...
Kama ulikuwepo vile...!!
Balozi mmoja ambaye alikuwa "class mate" alikuja mwaka jana kwa sherehe za krismas akanialika.
- Watoto wake badala ya kuniambia 'Shikamoo'... wao wanasema "good morniiiiiing"!!
- Wakati wa msosi, walipigwa na butwaa baada ya kuniona nikiweka pembeni uma na kisu na...
Tatizo sio barabara.
Kinachochangia kuongezeka kwa ajali ni viongozi wa sasa ambao wako busy kuua reli za kati na Tazara, ambazo zilikuwa zinasaidia kupunguza idadi ya magari makubwa ya mizigo barabarani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.