Recent content by Stone cold 316

  1. Stone cold 316

    Iran yaishambulia Israel kwa makombora

    Hiyo fursa ameiona mmarekani tu na washirika wake sisi africa hatujaiona
  2. Stone cold 316

    Iran yaishambulia Israel kwa makombora

    Sasa najuilizaga Marekani anabenefit nini kwa israel mbaka anasahu mambo yake ya ndani
  3. Stone cold 316

    Suala la mwanaume kuoa miaka hii ni gumu, labda mtu ujilipue tu

    No 3 hapo umetuma nauli na yakutolea inauma Sana[emoji3064][emoji3064][emoji3064] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  4. Stone cold 316

    Mapenzi sio vita Wala kuchoshana

    Hilo bao moja unachukua mda gani
  5. Stone cold 316

    Dunia inaenda kasi mnoo kumsubiria mwanamke akupende kwa jinsi ulivyo ni kupoteza muda

    Hapo kwenye kuzama sana kwenye mapenzi kwa wanaume limeshakuwa janga la kitaifa
  6. Stone cold 316

    Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

    Mkuu unajua kupoint madame ile nayo ni pisi imesimama
  7. Stone cold 316

    Usioe mwanamke aliyeondoka kwa baba na mama yake na kwenda kupanga

    Tupe na sababu mkuu Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. Stone cold 316

    Simuelewi huyu mchumba wangu

    Hii inaitwa ngumu kumeza umemaliza Kila kitu ilishawahi nitokeaga
  9. Stone cold 316

    Kadili unavyo mshobokea ndio unazidi kujipa ugumu wa kupata

    Huyo demu kama wewe ndo ulizingua na alafu ukahamua kumpotezea mazima inaonekana humpendi
  10. Stone cold 316

    Kadili unavyo mshobokea ndio unazidi kujipa ugumu wa kupata

    Hatari mimi nimemshobokea mwanamke nimemnunulia zawadi nikamuuliza umeipenda akajibu sijui[emoji28][emoji28][emoji28]
  11. Stone cold 316

    Je, tabia ya kuperuzi tovuti za picha/video/clip za wakubwa ni ya wengi?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo lazima kijasho chembamba lazima kilikutoka
  12. Stone cold 316

    Idea ya kutengeneza electronic distribution board

    Bongo mawazo mazuri huwaga hayapewi ushirikiano
  13. Stone cold 316

    Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

    Kwanini background wanatumia rangi ya kijana na sio rangi nyingine Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom