Recent content by Stimboti

  1. Stimboti

    TAKUKURU akiniomba rushwa nishitaki wapi kwa uchafu huu wa kimaadili?

    Takukuru akikuomba rushwa nenda kashitaki polisi
  2. Stimboti

    Ni wazi kuwa utawala wa Gamondi na Pep Guardiola umefikia tamati

    Umemaliza kila kitu yaani case closed.
  3. Stimboti

    Filamu hizi tano zimenifanya nione nchi Afrika Kûsini ni kinara wa kutoa Movies Kali Afrika

    Ya jack chain inaitwa who I'm I . Ingawa ni ya zamani ni classic sana.
  4. Stimboti

    Watu wa Arusha na kujifanya wajanja na wanajua kila kitu ni zero tu

    Aisee chalii vunga usitie mguu hapa chuga hakuna rangi utaacha kuona unatuita sisi washamba subiri tutakufurahisha
  5. Stimboti

    Poleni sana wote mliopata majanga kwenye ajali ya mabasi ya Premier na Kapricon

    Madereva wa mabasi ni wapumbavu kuliko unakuta eneo la mjini lkn wanalazimisha kwenda speed au sehem ya iliyokataza ku overtake dereva wa bus anaovertake bila kujali wana ujinga uliopitiliza
  6. Stimboti

    Magufuli: Spika (Ndugai) wadhibiti wanaoropoka Bungeni, wakija mtaani tuta-deal nao! Nafuu wakalale wanyamaze...

    R I P Legend the true son of Africa. Wasaliti ni lazma washughulikiwe tunapgana vita halafu ugeuke .
  7. Stimboti

    My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

    Hivi huyo p didi alikuwa Anawafanya nn hao watu wanaolalamika .
  8. Stimboti

    DOKEZO Mfanyabiashara wa Magari, Gideon Mlokozi Mashankara amepotea

    Unaweza ukadhani kama taifa tuna janga la utaahira yaani mtu anakamatwa kwa nguvu na watu ambao hata gari haina namba mnaangalia tu vijana wa daisalamu ni sifuri kabisa
  9. Stimboti

    Mabilioni yaliyofichwa na Hayati Magufuli kwake Chato, serikali ilikaa kimya!

    Kuhusu magufuli kuiba hiyo nakataa aliekutuma mwambie umekwama
  10. Stimboti

    Mwanaume elewa kuchapiwa ni siri ya ndani

    Ni kweli ukichapiwa na ukajua na ww chapa nje tu hakuna namna
  11. Stimboti

    Kwa Masaa 24 tu Mchango wa Gari mpya ya Tundu Lissu wazidi milioni 10

    Kichwa cha kuku hakibebi mzigo hivi mnachangiaje mtu hela kununua gari ili hali ni tajiri yaani wabongo wengi kichwani ni weupe kila mtu apambane na hali yake . Asante
  12. Stimboti

    Ni kweli Robot hana Uchawa, hana Upendeleo na Hapokei Rushwa lakini anauwa Fursa za Ajira!

    Kwani hilo jitu wamenunua la nn mbona kama wanachezea hela tu
  13. Stimboti

    Mashabiki wa Simba na Yanga tunatia aibu kwenye mitandao, tujirebishe

    Hii nchi ina janga la utaahira.
  14. Stimboti

    Kuhamia DP World au Kubaki TPA: Ushauri kwa wafanyakazi wa TPA

    Haya sasa tuliwaambia msiuze bandari kwa dp world lkn hamkusikia sasa mnataka kukosa pa kwenda.
Back
Top Bottom