Madereva wa mabasi ni wapumbavu kuliko unakuta eneo la mjini lkn wanalazimisha kwenda speed au sehem ya iliyokataza ku overtake dereva wa bus anaovertake bila kujali wana ujinga uliopitiliza
Unaweza ukadhani kama taifa tuna janga la utaahira yaani mtu anakamatwa kwa nguvu na watu ambao hata gari haina namba mnaangalia tu vijana wa daisalamu ni sifuri kabisa
Kichwa cha kuku hakibebi mzigo hivi mnachangiaje mtu hela kununua gari ili hali ni tajiri yaani wabongo wengi kichwani ni weupe kila mtu apambane na hali yake .
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.