Siku hizi mambo yanakwenda kisheria... Hakuna kuzurumika.. Kwa kila kitu mwaandika majina mawili na kila mtu anabakia na kopi. Kama unahisi uko na mtu kwa ajili ya kumchuna tu yaan hauna upendo naye. Unapita tu. Bora upite tu. Ila kama mpo kimaisha, hiyo yaweza ongeza thaman kwako
Mnapoteza muda, ukiona unatumia nguvu nyingi sana kuwa naye jua unaibiwa bro. Mapenzi ni pande mbili. Hata madem player wapo. Hawana mapenzi wala huruma ni walaghai tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.