Hali hii imesababisha hali mbaya kiasi kwamba wakulima wameshusha sana bei ya kangomba ili wapate hela ya kula wakati wanasubiri malipo ya korosho walizouzia serikali. Kangomba haitakufa kwa stail hii ya kuchelewesha malipo na vitisho.
Suala ni jinai ya kutumia cheti cha mtu mwingine, hata angeishia darasa la saba kwa cheti chake isingekuwa ishu. Na kama siasa haihitaji elimu, mbona raisi anamaliza tu maprofesa pale udsm katika teuzi zake za kisiasa?
Huyo ana kampuni yake, ya Portal Noveli, sashiv katulia na kazi na familia yake. Huwa anapost vitu vya maana sana (very educational) kwenye instgram yake.
Wauza unga wajanja sana wanawarubuni wasanii waingie kwenye matumizi ya unga ili kupata uhakika wa soko la bidhaa zao pia wanajua ni rahis msanii kuvuta mashabiki wake kutumia. Pia siku hizi wanawaingiza wavuta bangi kwa kuwachanganyia na unga bila kujijua baadae ukigundua unaona bora uhamie...
Wakuu naomba msaada wa kuweza kusikia matangazo ya mpira ya Dstv kwa kiswahili. Kwenye screen kuna tangazo linasema audio 3: kiswahili ila nashindwa kuipata kwa remote control yangu. Nataka kuwasikia wakina Edo Kumwembe live.
Kitakacho-determine mshindi ikiwa vyombo vyote vina speed sawa ni pale wanapoanza. Vyombo vinaweza vikawa na speed sawa lakini kimojawapo kikiwa kinachelewa kuchanganya basi kilichowahi kuchanganya kufikia speed ya mwisho kitawahi kufika. Mana kilicho mbele kitaendelea kuwa mbele tu kwa kuwa...
Unapowasiliana na mtu ni vyema kutumia lugha inayoeleweka vizuri kwa mlengwa/walengwa. Hii inahusisha uandishi sahihi na matamshi sahihi unapoongea. Kwa kiongozi wa nchi hatarajiwi kuonesha udhaifu katika haya, hata kama ikibidi kusaidiwa.
Simu nyingi zenye outofucus na yenye option ya tap to focus au focus lock huweza kufocus unachukutaka hasa kama kiko mbele ya vingine then vya nyuma vinakuwa blurred (out of focus). Hizi simu za sikuhizi zenye camera 2 nyuma hufanya kazi hiyo vizuri zaidi kama vile iphone 7 plus
Illuminati ni secret society ya juu sana, kwanza ni wabaguzi wa rangi, pia wanachukua watu wenye IQ kubwa sana. Huwa watoaji na mwenye kusaidia watu, hivyo ni watu matajiri sana na viongozi. Mfano ni JP Morgans na Rockefeller. Wengi wao huanzisha taasisi za kumataifa kusaidia wasiojiweza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.