Recent content by stickvibration

  1. stickvibration

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hivi sisi wakazi wa mwanza tumewakosea Nini TANESCO??? Huu ni mgao au mgawano?? Tuanze na wilaya ya ilemela kata ya kirumba kuanzia Jana saa5 usiku mpaka Sasa alfajir hii hakuna Umeme...Ukipiga simu EMERGENCY hawapokei...TUNAPIGA Tena simu emergency ya makao makuu vile vile sim haipokelewi...
  2. stickvibration

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kosa kubwa saaana Kalemani kutumbuliwa wizara hio...
  3. stickvibration

    JamiiForums Tanzania WhatsApp inafanya majaribio ya kuweka sehemu ya kuzuia “Last Seen” isionekane kwa baadhi ya contacts

    HAKUNA APP AMBAYO INAONGOZA KWA KUTOKUWA NA PRIVACY KAMA WHATSAPP APP NIKITAKA KUKUHACK NI SEKUNDE 10 TU
  4. stickvibration

    JamiiForums Tanzania WhatsApp inafanya majaribio ya kuweka sehemu ya kuzuia “Last Seen” isionekane kwa baadhi ya contacts

    Mkuu wafanyabiashara wanamna hio ujue hao ni malaya
  5. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Ni lini Rais utaongea nasi, mbona bei ya vitu imepanda hivi au huna taarifa?

    Nshagavusha saana vifaa vya ujenzi FRM Kenya to Ar Chuga[emoji124]
  6. stickvibration

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Chonde chonde kwa wakazi wa Mwanza, mgawo ndio umeanza RASMI muda huu.. katika Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza..umeme ushakatwa na utarejea jioni. Jianadaeni na mshumaa Huko wa Nyamagana.. Nawaskitikia wakazi wa Geita, Sengerema na Chato
  7. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Dada zetu mseme ukweli kuna mwanaume wa kukupa 50k zama hizi?

    Wewe Kama Hauna ni wewe tu...50k hata mahemezi ya sokoni haitoshelezi[emoji124]
  8. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Vodacom Mnakiuka Agizo na makubaliano mliyofanya na Serikali

    Voda Huwa hawafai kabxaaa...hata kwenye manunuzi yao ya bando Huwa Yako juu saana
  9. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Nasikia Mkuu wa Majeshi huku Venezuela ameshapita umri wa kustaafu lakini bado yupo ofisini

    Kwani Huyo Mkuu mwenyewe anasemaje[emoji848]
  10. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

    Sasa hivi katafute mabwana Live[emoji2]mambo yakujitia madole hayapo tena[emoji2][emoji2][emoji2]
  11. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

    Bila ya kupoteza muda wanajamvi,Mimi napenda kuwapa pongezi kubwa sana TCCRA Kwa kupiga Pini Site za Ngono mitandaoni... Na pia nawapa pole saana wale wanachama wa CHAPUTA
  12. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Kodi ya Jengo au Kodi ya Mita ya LUKU?

    "SIKU NIKIFA WATANZANIA MTANIKUMBUKA SAANA,TENA MTANIKUMBUKA KWA MAZURI YANGU". Nukuu kwa JPM[emoji124]
  13. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Madhara ya chale za waganga wa jadi ni yapi?

    Chanjo zilishapitwa na wakati mkuu.siku hizi Kuna New Version..pia nikali mara Tano ya chanjo[emoji124] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  14. stickvibration

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje Mkoa wa Mara ukaitwa 'Jamhuri ya Watu wa Chui'?

    JWTZ Jeshi la Wakurya Tangia Zamani [emoji2211]
Back
Top Bottom