Moja wapo ya sharti la mtu kufunga ndoa ni lazima umri uwe umetimia miaka 18, ni kitu gani kitatujulisha umri wa mtarajiwa kama siyo cheti cha kuzaliwa? (Kumbuka pia tupo kwenye mchakato wa kutokomeza ndoa za utotoni) mi naona swala la cheti cha kuzaliwa haliepukiki kama siyo leo, kesho...
Habari zenu wakuu, binafsi in producer ingawa cjajikita sana kwenye hii kazi, bado nahesabu masAa mambo yakae vyema, kuna wakuu ambao kwa mda sasa tuna share ideas, knowledge, beats nk. Kupitia watsupp, ilikuboresha zaidi nimetengeneza group MUSIC PRODUCERS nawakaribisha sana wakuu kwenye hili...
sheria za kuboresha mfuko huu ni mhim lakini pia kuna mwamko mdogo wa wanajamii kuhusu suala la afya,ukiangalia hata hizi bima ya NHIF kuna watumishi wa serikari hawana vitambulisho sababu kubwa ni uzembe wao na kukosa mwamko, serikari na wanajamii tuelimishane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.