Recent content by STEVENTEMI

  1. STEVENTEMI

    Mwakyembe amechoka, apumzishwe!

    Moja wapo ya sharti la mtu kufunga ndoa ni lazima umri uwe umetimia miaka 18, ni kitu gani kitatujulisha umri wa mtarajiwa kama siyo cheti cha kuzaliwa? (Kumbuka pia tupo kwenye mchakato wa kutokomeza ndoa za utotoni) mi naona swala la cheti cha kuzaliwa haliepukiki kama siyo leo, kesho...
  2. STEVENTEMI

    Kwanini Nyerere hakutaifisha seminari za Katoliki?

    Shule nyingi zilitafishwa zilizoachwa ni zile maalum kwa ajili yakuandaa mapadre (seminar)
  3. STEVENTEMI

    Kwa Watanzania mnaoendelea kughiribiwa na Lowassa

    Aliyeshika kikatio anaipenda UKAWA ila hana imani na Lowassa, ana imani na Magufuri ila amechoshwa na CCM, MWAKA Huu kazi ipoooo
  4. STEVENTEMI

    Tujifunze softwares za music/audio production

    Habari zenu wakuu, binafsi in producer ingawa cjajikita sana kwenye hii kazi, bado nahesabu masAa mambo yakae vyema, kuna wakuu ambao kwa mda sasa tuna share ideas, knowledge, beats nk. Kupitia watsupp, ilikuboresha zaidi nimetengeneza group MUSIC PRODUCERS nawakaribisha sana wakuu kwenye hili...
  5. STEVENTEMI

    Jiunge na mfuko wa afya ya jamii!

    sheria za kuboresha mfuko huu ni mhim lakini pia kuna mwamko mdogo wa wanajamii kuhusu suala la afya,ukiangalia hata hizi bima ya NHIF kuna watumishi wa serikari hawana vitambulisho sababu kubwa ni uzembe wao na kukosa mwamko, serikari na wanajamii tuelimishane
Back
Top Bottom