Mimi swali langu ni kwanini kuna baadhi ya watu wanateseka sana hapa duniani
Yani mpaka unaweza kufuru aisee
nimejiuliza hili swali miaka sipati majibu sahihi
Uyo dalali ni mjinga
mimi ni dalali,kwangu ni very simple sababu watu ninao.Kama sina iyo cash ya kumpa kwa wakati huo nina watu wangu nawafata kama biashara imeshakaa vizuri tunakuja tunakulipa 50 yako tunaenda kuuza 90.Aliyewezesha mchongo namtoa kidogo tu sababu hela yake imetoka na kuzunguka...
SIKUJUI ILA CHUKUA HII TOKA KWANGU USITHUBUTU.Niliwahi kushauriwa ila nikatia kiburi nikajichanganya kwa kuamini kila mtu ana njia yake Alooo sitasahau.Najutia
Wanajua kila kitu,wanapenda haki sawa
Wajuaji mnooooo atakusumbua tu ila mwanzoni hutaona
1.Uhai,Afya na amani ndio zawadi kubwa zaidi tulizopewa wanadam
2.Heshimu kila mtu maisha hubadilika! Ishi na watu vizuri
3.Huthaminiwi kama huna kitu
4.Ukiweza kumsaidia mtu yeyote mwenye uhitaji fanya sio kwasababu ya fadhila ila kuifanya dunia kuwa sehemu bora kwaajili yetu sote.Be...
NYUMBA INAUZWA MLIMWA C-MTAA WA WAZIRI MKUU
WAWEKEZAJI USIHANGAIKE KUNUNUA KIWANJA KUJENGA ILI UPANGISHE BALI NUNUA NYUMBA HII IKO KWENYE MTAA UNAOPENDWA NA WATU WENGI DODOMA AMBAPO NI NGUMU KWAKO KUPATA KIWANJA KWASASA AU KWA BEI NAFUU UKILINGANISHA NA NYUMBA HII INAVYOUZWA
__________...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.