Recent content by steven13

  1. steven13

    POTOSHI Muonekano wa sasa hivi wa Justin Bieber amedhohofika kwa sababu ya dawa za kulevya

    ni kweli anatumia drugs ila hana muonekano huo
  2. steven13

    Je Kati ya dalali na mwenye kiwanja nani yupo sahihi

    Uyo dalali ni mjinga mimi ni dalali,kwangu ni very simple sababu watu ninao.Kama sina iyo cash ya kumpa kwa wakati huo nina watu wangu nawafata kama biashara imeshakaa vizuri tunakuja tunakulipa 50 yako tunaenda kuuza 90.Aliyewezesha mchongo namtoa kidogo tu sababu hela yake imetoka na kuzunguka...
  3. steven13

    Je kuoa mwanamke aliyesoma sheria linaweza kuniletea madhara siku Za mbeleni?

    SIKUJUI ILA CHUKUA HII TOKA KWANGU USITHUBUTU.Niliwahi kushauriwa ila nikatia kiburi nikajichanganya kwa kuamini kila mtu ana njia yake Alooo sitasahau.Najutia Wanajua kila kitu,wanapenda haki sawa Wajuaji mnooooo atakusumbua tu ila mwanzoni hutaona
  4. steven13

    Zifuatazo ni sifa za mwanaume anayejitambua kama ifuatavyo

    namba 11 atakuwa mpumbavu uyo mwanaume
  5. steven13

    Dalili za ugonjwa wa H-PYLORI

    mimi nlimpata mwili unauma nachoka tu hata kaz sijafanya kifua kubana mgongo unauma
  6. steven13

    Kwa miongo ulioishi Duniani umejifunza nini?

    1.Uhai,Afya na amani ndio zawadi kubwa zaidi tulizopewa wanadam 2.Heshimu kila mtu maisha hubadilika! Ishi na watu vizuri 3.Huthaminiwi kama huna kitu 4.Ukiweza kumsaidia mtu yeyote mwenye uhitaji fanya sio kwasababu ya fadhila ila kuifanya dunia kuwa sehemu bora kwaajili yetu sote.Be...
  7. steven13

    Sijawahi kuona mwanaume ameoa mwanamke mwenye makalio makubwa.

    Beautiful woman is another man's play thing (It is Not Ease-Lucky Dube)
  8. steven13

    House4Sale Nyumba inauzwa Mlimwa C Dodoma

    NYUMBA INAUZWA MLIMWA C-MTAA WA WAZIRI MKUU WAWEKEZAJI USIHANGAIKE KUNUNUA KIWANJA KUJENGA ILI UPANGISHE BALI NUNUA NYUMBA HII IKO KWENYE MTAA UNAOPENDWA NA WATU WENGI DODOMA AMBAPO NI NGUMU KWAKO KUPATA KIWANJA KWASASA AU KWA BEI NAFUU UKILINGANISHA NA NYUMBA HII INAVYOUZWA __________...
  9. steven13

    Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

    We bado unawaamini wanawake mzee Ao kama kile chama tu mitano tena
  10. steven13

    Raha ya tendo na heshima kwa mwanaume

    Bora ungeenda dodoma tu mkuu kuungana na wale
  11. steven13

    Raha ya tendo na heshima kwa mwanaume

    Hana tofauti na wale walioko Dodoma saizi ni kujisifia na kujiponyeza tu
  12. steven13

    Wanaume mnajua mna matatizo

    [emoji23][emoji23]Laughed so hard
  13. steven13

    Hatimaye kiungo Novatus Miroshi amefaulu kupata namba ya kudumu kwenye timu yake na leo kafunga tena

    nimeangalia hii mechi mwanzo mwisho sema yule mmorocco (En Nesyri) Foward wa Fenerbahce anajua mpira aisee
  14. steven13

    Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

    mechi inaanza moja bila duh wanaweke hawaeleweki Mkuu Omba tu Mungu uwe na mtu sahihi hata hao wa moja bila wako wengine miyeyusho sana!Jiulize kwann aliachwa
Back
Top Bottom