Ah sawa ahsantemimi nlimpata
mwili unauma
nachoka tu hata kaz sijafanya
kifua kubana
mgongo unauma
daah nimeshajaribu kila aina ya tiba lakini wapi asali vitungu swaumu nimemeza sana au nakosea wapi mkuu?Ikiwa umetumia dawa za hospitali hujapona tumia kitunguu swaumu na asali.Asubuhi na jioni utakuja kinishukuru ila hakikisha ni h.pylori.Mimi nimeumwa miaka miwili maana nilipokuwa mjamzito daktari ndio niligundulika na h.pylori hivyo sikuweza kuutibu.Ikabidi nikae nao hadi najifungua nimejifungua ulikuwa umeshakomaa na nisugu plus ukali wa dawa.Hivyo nimekuja kupona recently kitunguu swaumu ni dawa jamani tusikidharau na asali pia ni dawa nzuri sana ila hakikisha asali ni original sio iliyochakachuliwa ukiweza chukua asali iliyovunwa directly na mtu kutoka kwenye mzinga ukiwa unaona tumia utapona
ndio zipi hizo mkuu?meza
H pylori Kit
utapona
Ni ugonjwa unaoambukiza kwa ngono ya mdomo au kula vitu villivyo contaminated,,, dalili ni maumivu ya tumbo, mgongo, gas tumboni, n.kHamjambo natumai mupo wazima naomba kueleweshwa ni zipi dalili za ugonjwa au h-pylori, maana natamani kwenda kupima huu ugonjwa kutokana na homa za mara kwa mara zinazonikabili ila niliwahi kuskia watu wanaongea kwamba huu ugonjwa unatokana na matumbo namaanisha tumbo likiwa linauma ndio unapaswa kwenda kupima naomba munieleweshe kwa anaejua
kwahiyo hapo mkuu dawa ndio inaitwa pylokit au ni mkussnyiko wa hizo dawa hapo ka zilivyotajwa ?
Hiyo asali itakuwa sio original asali nyingi mnazotumia mjini hizi zimewekwa kwenye vichupa vya konyagi 90%zimechakachuliwa.Tafuta asali original ile iliyotoka kuvunwa directly ina rangi nyeusi sio hizi za kahawia zimechakachuliwa.Tumia hiyo na kitingui swaumu utakuja kunishukuru.Pia ikiwa asubuhi u a gesturi ya kunywa chai ya majani(majani ya chai)acha.Nunua viungo vya chai vya kawaida weka kidogo weka na asali na vitungu swaumu kunywa.Au meza ku vitunguu swaumu na asali asubuhi na jioni ila asubuhi acha kunywa chai ya rangi au weka kidogo mno.daah nimeshajaribu kila aina ya tiba lakini wapi asali vitungu swaumu nimemeza sana au nakosea wapi mkuu?
daah nimeshajaribu kila aina ya tiba lakini wapi asali vitungu swaumu nimemeza sana au nakosea wapi mkuu?
hawa bacteria ningumu kufa kwa hivi vitu ulivyotaja mkuuHiyo asali itakuwa sio original asali nyingi mnazotumia mjini hizi zimewekwa kwenye vichupa vya konyagi 90%zimechakachuliwa.Tafuta asali original ile iliyotoka kuvunwa directly ina rangi nyeusi sio hizi za kahawia zimechakachuliwa.Tumia hiyo na kitingui swaumu utakuja kunishukuru.Pia ikiwa asubuhi u a gesturi ya kunywa chai ya majani(majani ya chai)acha.Nunua viungo vya chai vya kawaida weka kidogo weka na asali na vitungu swaumu kunywa.Au meza ku vitunguu swaumu na asali asubuhi na jioni ila asubuhi acha kunywa chai ya rangi au weka kidogo mno.
Upo sahihi mkuu lakini hawa bacteria kuna stage wanakuwa sugu hawasikii dawa za hospitaliTumia dawa za hosptital mkuu achana na mavitunguu , combination ya dawa kama tatu hivi , kama amexiline , metro na omoprazole 14days, ikishindikana tumia pylory kit , ikishindikana rudia dawa
ngoja nijaribu pylorikit hizo amoxillin metranidazole na omaprazole nishatumia ni kama zinatuliza tu ila huponi moja kwa mojaTumia dawa za hosptital mkuu achana na mavitunguu , combination ya dawa kama tatu hivi , kama amexiline , metro na omoprazole 14days, ikishindikana tumia pylory kit , ikishindikana rudia dawa
Mimi nimepona huu ugonywa nimeumwa miaka miwili.Kitungui swaumu hichi tunachokichulia poa ni dawa na kinatibu.Na mostly nilikuwa nikishatumia huu mchanganyiko tumbo linakuwa sawa kabisa ikawa sasa naendelea maana nikitumia tu nakuwa sawa wiki nimepima sina tena huu ugonjwa nipo negative.Kitunguu swaumu ni dawa kinaweza kupambana na bacteria na asali piahawa bacteria ningumu kufa kwa hivi vitu ulivyotaja mkuu
jaribu na kitunguu swaumu changanya na asali na maziwa kunywa mara mbili kwa siku utaponangoja nijaribu pylorikit hizo amoxillin metranidazole na omaprazole nishatumia ni kama zinatuliza tu ila huponi moja kwa moja
Sikupingi sana lakini itategeme na usugu wa bacteria wenyewe. Hawa bacteria niwagumu kusikia hataa hizo antibioticMimi nimepona huu ugonywa nimeumwa miaka miwili.Kitungui swaumu hichi tunachokichulia poa ni dawa na kinatibu.Na mostly nilikuwa nikishatumia huu mchanganyiko tumbo linakuwa sawa kabisa ikawa sasa naendelea maana nikitumia tu nakuwa sawa wiki nimepima sina tena huu ugonjwa nipo negative.Kitunguu swaumu ni dawa kinaweza kupambana na bacteria na asali pia