Wakati jeshi lilipokuwepo kipindi hiko kwa.mujibu wa sheria kama leo hii Wangapi hawakwenda na hatua gani walichukuliwa?? tuache kupeana presha za bure. Huyo Mtoto aende kwasbb ni wa kiumeni ila apart from hapo nothing else.
kwa mtu ambaye hajawahi kusoma Vitabu vya huyu jamaa, siwezi mlaumu akitoa mawazo yasiyo na kichwa wala miguu kwa Kuwa hajui Kipi kiongelewacho, hajui thamani ya Hayo maandish yaliyopelekea huyu mwandishi kutunukiwa sifa kedekede kwamba ni mwandishi bora kuwahi kutokea katika uso wa Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.