Habarizenu,
Nimefikiri sana swala hili,ni kwamba halina majibu au wanaogopwa waganga ,au wanao watuma kufanya hayo mauaji mana,bado sijasikia bado kama wahusika wakuu wakiwa wameshikwa,zaidi ya kushikwa kwa wale wanaotumwa kuuwa,napenda nchi yangu ingeweka mkazo hili jambo,haija pita wiki tanga...