Recent content by Stepngo

  1. Stepngo

    Ndoa hukosewa mwanzoni au kuipatia mwanzoni

    Aiseee Aiseee,umeandika au umechora!?
  2. Stepngo

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Daisy. Akipata kubali Cha kuvunja ndoa na kupelekwa mahakamani. Kule Kunaitwa kesi tena na kusikilizwa au ni kutimiliza dhumuni kuu yaani kutoa talaka. Ahsante msaada please
  3. Stepngo

    Hajahudhuria SUMMIT hata moja anataka wenzake wahudhurie

    Mkuu, unaonaje ungemwandikia ujumbe direct ili umfikie vizuri
  4. Stepngo

    Video: Huku wao wakiparurana na kulogana , Chadema yakinukisha Tarime , Uwanja wajaza hadi waanza kutitia

    Kweli mkuu, Kama walishindwa hapa basi tena🤣🤣🤣🤣
  5. Stepngo

    Video: Nape Nnauye akana sauti inayodaiwa ni yeye na Kinana

    Sante. This is CCM. Nilitarajia hili.
  6. Stepngo

    Wameishi miaka saba bila kufunga ndoa na wanataka kuachana.

    H Huna unachokijua. Embu acha kudanganya watu hapa
  7. Stepngo

    Singida kijiji kizima wahamia CHADEMA baada ya Tundu Lissu kuvuliwa ubunge

    Means wanakijiji wote walikuwa CCM, ila mbunge wait tuu ndio alikuwa CDM. mmmmhhhh mwaka huu tutaona mengi
  8. Stepngo

    ajira za walimu kisando english medium

    Mkuu shule inapatikana Dar es salaam sehemu gani!?
  9. Stepngo

    Special kwa ma first born wote.

    🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa kweli hata mimi first born lakini nimezaliwa katikati
  10. Stepngo

    Kinachomfanya Makonda abaki madarakani ni siri kuu.

    Unaotaaa wewe. Huo ndio mwanzo wake mpya!!
  11. Stepngo

    Kinachomfanya Makonda abaki madarakani ni siri kuu.

    Sidhani Kama ana tatizo, shida ni kwamba watu wapo tension kwa chochote atakachoongea. Shida ni tafsiri za watu sio maneno yake. Ova
  12. Stepngo

    Wanaume kwanini mkimaliza kusex lazima mumuangalie babu?

    Huyo utafiti sasa kwa Bibi huyo huyo au uliomba sample
Back
Top Bottom