Tatizo la Dube linalomponza ni kujua kuji position. Muda mwingi yupo sehemu sahihi ya kupata magoli hivyo watu wanahisi anatakiwa afunge maana ni kugusa tu. Ni kama anawawekea watu tonge mdomoni alafu analiondoa.
Imefikia wengine wanasema Dube auzwe aletwe Sowa au nafasi yake aanze Musonda.
Sio...
Binafsi sijashudia lolote kati ya ulivyoorodhesha hapa, lakini siwezi kukupinga.
Ishu ya mtaala mpya ni changamoto kwa wadau wote. Haijalishi dini zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.