Recent content by stephenga

  1. stephenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania LG Oled vs Samsung Neo Qled. Ipi nzuri zaidi?

    So kama nakusoma vizuri mkuu, sonny ndio best choice?
  2. stephenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania LG Oled vs Samsung Neo Qled. Ipi nzuri zaidi?

    Ukiwa na TV za Samsung, LG au sonny unawezaje kutazama YouTube, netflix, prime videos au apple tv ?
  3. stephenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania LG Oled vs Samsung Neo Qled. Ipi nzuri zaidi?

    Ni kampuni ipi zina android os?
  4. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Haya sawa nimekuelewa mkuu.
  5. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Na mimi kuna auntie yangu zilirudi baadae after operation. Tuendelee kuomba Mungu, ndio maana nikipata mtu wa tiba za asili nitafurahi sana.
  6. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Hapa nilipo nachanganyikiwa kabisa sijui cha kufanya.
  7. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Mfano kituo gani cha afya kwa dsm?
  8. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Mimi nafanya kama kibarua
  9. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Nilishawai kuwasiliana nae.
  10. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Dah 🤔🤔🤔
  11. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Yani hapo ndio napochoka kabisa 🥺🥺
  12. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Yani mkuu hizi nimetumia sana. Lakini siwezi choka ngoja nijaribu tena.
  13. stephenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Tonsillitis ni ugonjwa unanisumbua karibu miaka 7 sasa ila currently zimefikia hatua mbaya. Nikimeza dawa siponi na nikichoma sindano zinapoa kisha zinarudi tena. Siwezi maliza mwezi au miezi miwili sijalala kitandani sababu ya tonsils. Nishajaribu dawa za kienyeji za kukoroga mchanganyo...
  14. stephenga

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata mwanamke wa kizungu

    Hii story ni ya uongo, watu wanaitumia sana kukatisha tamaa wengine.
Back
Top Bottom