Recent content by stephenga

  1. stephenga

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Hii ni mara ya pili Lema anamchokonoa Heche. Mara ya kwanza kwenye kamati kuu akaanzisha mjadala Heche akae pembeni kupisha uchunguzi wa kula hela za chama. Mchaga always ni snitch
  2. stephenga

    JamiiForums Tanzania Wazo la Project ya Kusaidia Watoto wa Shule Mabegi

    Watu amchangii
  3. stephenga

    JamiiForums Tanzania Wazo la Project ya Kusaidia Watoto wa Shule Mabegi

    Wakuu nilikosea njia au?
  4. stephenga

    JamiiForums Tanzania Wazo la Project ya Kusaidia Watoto wa Shule Mabegi

    Asante mkuu. Kama unaushauri kuhusu maswali yangu nitashukuru sana
  5. stephenga

    JamiiForums Tanzania Wazo la Project ya Kusaidia Watoto wa Shule Mabegi

    Nina wazo la kuanzisha project ndogo ya kusaidia watoto wa shule za msingi wanaotoka mazingira magumu kupata begi la shule lenye vifaa muhimu vya kujifunzia ndani yake—kama madaftari, vitabu, kalamu, mkebe n.k. Kwa sasa nataka kuanza kama initiative yangu binafsi, mimi na washikaji wachache...
  6. stephenga

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto na unyonyaji wa wafanyakazi - Jambo Group of Companies, Shinyanga

    Mwarabu anaejali wafanyakazi wake ni GSM pekee
  7. stephenga

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Noel na juma lokole ni wasanii wa nini?
  8. stephenga

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Okay, shukrani sana
  9. stephenga

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Thanks mkuu kwa this. Nimekupata vizuri, sema naona hii inahitaji kichwa chenye utulivu mpaka kumasta hii skill na mimi currently nipo kwenye kujitafuta mambo ni mengi. Ngoja nijaribu kwenye Kiswahili nimepiga course ya teaching Kiswahili to foreigners nataka nione namna gani naigeuza kuwa pesa...
  10. stephenga

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Niliamua kuacha, bongo kuheshimu skills za mtu bado. Tena mteja anajiona smart eti nifanyie kwa buku 5 nitakuwa nakulengeshea wateja nna watu kibao wanataka logo.
  11. stephenga

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Mimi nilijifunza graphic design wateja wanataka logo kwa buku 5 😅
  12. stephenga

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Virtual assistance wanafanya nini haswa?
  13. stephenga

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Mkuu Nafaka kama hutojali unieleweshe hii AI data collection and training ni nini haswa na nikitaka jifunza naanzia wapi na kazi zake zinapatikanaje
Back
Top Bottom