Recent content by stephenga

  1. stephenga

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi serikali kuwatafutia raia wake ajira nchi nyingine?

    Kufanya kazi nje ya nchi sio utumwa kama ajira zinazingatia sheria za kazi, malipo stahiki na uhuru wa mtu kuacha kazi au kubadili kazi Hizi nchi za kiarabu zina system yao wanaita kafara system hii ni zaidi ya utumwa. Kazi zenye kuzingatia utu zipo kwa nchi za wazungu.
  2. stephenga

    JamiiForums Tanzania LNG, LPG na CNG: Tofauti Yake Ni Ipi, na Tanzania Inapaswa Kuwekeza Zaidi Kwenye Ipi?

    Tanzania tunazalisha CNG? Au hizi CNG,za kwenye magari zinatoka wapi?
  3. stephenga

    JamiiForums Tanzania LNG, LPG na CNG: Tofauti Yake Ni Ipi, na Tanzania Inapaswa Kuwekeza Zaidi Kwenye Ipi?

    Yale mabomba ya gesi yanayoyoyka mtwara mpaka kinyerezi yameweka aina gani ya gesi?
  4. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Nitakuoa wewe na mamako
  5. stephenga

    JamiiForums Tanzania LNG, LPG na CNG: Tofauti Yake Ni Ipi, na Tanzania Inapaswa Kuwekeza Zaidi Kwenye Ipi?

    Mara nyingi tunasikia majina haya matatu—LNG, LPG na CNG—lakini kwa Mtanzania wa kawaida ni vigumu kuelewa tofauti zake na matumizi yake. Ningependa wataalamu wa nishati watuelimishe kwa lugha rahisi: LNG ni nini, na hutumika zaidi wapi? LPG ni nini, na kwa nini ndiyo gesi inayotumika...
  6. stephenga

    JamiiForums Tanzania Tonsils dawa yake ni nini?

    Nisaidie namna ya kupata hiyo dawa ya kimasai. Nimeangaika na tonsils miaka mingi.
  7. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Ndio, mimi ni mwanaume wa Dar es Salaam, wilaya ya Ilala.
  8. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Mama yako akisogeza kitumbua chake atakwambia ni asilimia ngapi
  9. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Hizi unazoleta ni hasira. Mimi sio mchafu na sijawai kunuka kibeberu.
  10. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Harufu ya jasho ni uchafu. Ukienda kwenye ulimwengu wa watu wastaarabu watakushangaa mtu unanuka kikwapa sababu hiyo ni indicator ya mtu mchafu.
  11. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Unatakiwa na nani? Achana na kasumba zinazokufanya unakuwa mchafu.
  12. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Hii siifahamu
  13. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Baada ya kumuona mama yako
  14. stephenga

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna deodorant inaizidi Nivea Fresh Energy?

    Usafi na ustaarabu.
Back
Top Bottom