Kufanya kazi nje ya nchi sio utumwa kama ajira zinazingatia sheria za kazi, malipo stahiki na uhuru wa mtu kuacha kazi au kubadili kazi
Hizi nchi za kiarabu zina system yao wanaita kafara system hii ni zaidi ya utumwa. Kazi zenye kuzingatia utu zipo kwa nchi za wazungu.
Mara nyingi tunasikia majina haya matatu—LNG, LPG na CNG—lakini kwa Mtanzania wa kawaida ni vigumu kuelewa tofauti zake na matumizi yake.
Ningependa wataalamu wa nishati watuelimishe kwa lugha rahisi:
LNG ni nini, na hutumika zaidi wapi?
LPG ni nini, na kwa nini ndiyo gesi inayotumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.