Recent content by stephenga

  1. stephenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata mwanamke wa kizungu

    Hii story ni ya uongo, watu wanaitumia sana kukatisha tamaa wengine.
  2. stephenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mtu amewahi kupata mwenza kupitia hili jukwaa?

    I tried, it didn't work.
  3. stephenga

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata mtaalam wa tiba ya tezi dume?

    Nikifanikiwa ndugu yangu. Shukrani
  4. stephenga

    JamiiForums Tanzania Nina mpango wa kusoma PhD nje ya nchi

    Sijafanikiwa bado.
  5. stephenga

    JamiiForums Tanzania Huyu Dube mnataka afunge magoli mangapi ili aonekane ni bora? Goli 8, assist 7 siyo mchango mdogo kwenye timu!

    Wote awa uliowataja wapo level moja na Dube. Hakuna walichomzidi Dube na awazidiani kitu.
  6. stephenga

    JamiiForums Tanzania Huyu Dube mnataka afunge magoli mangapi ili aonekane ni bora? Goli 8, assist 7 siyo mchango mdogo kwenye timu!

    Tatizo la Dube linalomponza ni kujua kuji position. Muda mwingi yupo sehemu sahihi ya kupata magoli hivyo watu wanahisi anatakiwa afunge maana ni kugusa tu. Ni kama anawawekea watu tonge mdomoni alafu analiondoa. Imefikia wengine wanasema Dube auzwe aletwe Sowa au nafasi yake aanze Musonda. Sio...
  7. stephenga

    JamiiForums Tanzania Wakuu nisomee mtambo gani nini kati ya TOWER CRANE au MOBILE CRANE?

    Pambana mkuu, ukimaliza unaweza kwenda kuomba tempo job bandari pale.
  8. stephenga

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mbeya: Mwalimu Mkuu Shule ya Sekondari Mabatini analazimisha wanafunzi wenye ufaulu mdogo kurudia darasa, wakigoma anawafukuza

    Shule zinaruhusiwa kuwa na pass mark zake, mfano mimi shule niliyosoma O level ukipata wastani C unarudi nyumbani kutafuta shule nyingine.
  9. stephenga

    JamiiForums Tanzania Kwanini tunafundishwa namba za Kirumi shuleni? Je Zina faida gani maishani?

    Yes, inategemea wewe faida unaichukulia vipi
  10. stephenga

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Wanawake kumi (10) mashujaa na viongozi bora kuwahi kutokea Tanzania

    Nothing special with them.
  11. stephenga

    JamiiForums Tanzania Kwanini tunafundishwa namba za Kirumi shuleni? Je Zina faida gani maishani?

    Haukufundishwa namba za kirumi ili zikupatie pesa, elimu ni kuongeza maarifa. Leo hii unaweza kusoma saa, unaweza kusoma pages nk
  12. stephenga

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Wanawake kumi (10) mashujaa na viongozi bora kuwahi kutokea Tanzania

    Mfano nani na nani?
  13. stephenga

    JamiiForums Tanzania Waislamu amkeni sasa, mtaala mpya wa elimu hauna nafasi ya kuwabeba kiujanja watoto wenu!

    Sidhani kama kwenye elimu yetu kuna vita.
  14. stephenga

    JamiiForums Tanzania Waislamu amkeni sasa, mtaala mpya wa elimu hauna nafasi ya kuwabeba kiujanja watoto wenu!

    Binafsi sijashudia lolote kati ya ulivyoorodhesha hapa, lakini siwezi kukupinga. Ishu ya mtaala mpya ni changamoto kwa wadau wote. Haijalishi dini zao.
  15. stephenga

    JamiiForums Tanzania Waislamu amkeni sasa, mtaala mpya wa elimu hauna nafasi ya kuwabeba kiujanja watoto wenu!

    Jamii ya wakiristo wanafanya initiatives zipi zinazowaweka tofauti na waislam?
Back
Top Bottom