Ukisoma ilani ya ACT wanazungumzia hifadhi ya jamii, yaani social security. Kuna mifuko kama CHF au community health fund inayofanya kazi sasa hivi. Huu ni mfano wa social security scheme.ACT wanakusudia ku-design social security schemes za aina mbali mbali kushugulikia matatizo kama ya afya na...
We kijana kama una "ushahidi" wa gharama za mikutano ACT una shindwaje kuwa na "ushaidi" wa wafadhili na kiasi wanachochangia? Au hivyo vianzo vya mapato vya ACT? Wewe sio mwanachama wa ACT vyanzo vyake vya mapato vina kuhusu nini? There are better things to do with your time aisee.
Exactly. Participating demonstrates to the public that a new constitution is necessary,whether Chadema leads the process or not neither does the party intend to dominate or monopolize the constitution process. From the beginning, Chadema supported the urgent need for a new constitution, but...
Wamiliki wa shule binafsi hawaja lalamika kuhusu kuendeleza walimu. Wame lalmikia work permit fees. Yaani pamoja ya work permit fees kubwa hivyo una tegemea watapata wapi fedha za kuwaendeleza walimu? Ada zitapanda mara dufu!!!!! Narudia tena...sio core acivity ya shule binafsi za sekondari au...
Mkuu una hoja nzuri
Kwenye hii post watu wengi wanajibu bila hata kuelewa tatizo vizuri. Work permit fees ni kubwa ajabu. Hivi kuna vigezo gani vimetumika kuweka viwango hivi? Katika dunia ya sasa kuna ushindani mkali wa skilled human resources. Katika mazingira yetu ya upungufu mkubwa wa...
Kuendeleza au kutoendeleza sio issue wanalolalamikia wamiliki wa shule binafsi. Wao wanataka ada ipungue,na wana hoja ya msingi. Infact kama ni issue basi ni suala la muda mrefu. Hiyo inakuwa long term plan ya shule, siyo jukumu la msingi na kuna utaratibu maalumu. In the short run wanahitaji...
Hiyo si kazi ya shule za primary au secondary. Mawazo wako yangekwa mantiki kama ni chuo cha ualimu. Jukumu la shule ni kusomesha watoto, sio ku-train walimu. Ku-train walimu nje ya nchi ni gharama zaidi na ni usumbufu (Kuwekeana mikataba n.k.)Point hapa ni kwamba tuna skills shortage nchi hii...
Kwakweli tatizo ndo hilo. Jamaa walikuwa hawana determination ya kupenya ngome. Wa Ivory coast walikuwa ni wakubwa, lakini ukiangalia pale stars walijiamini na kupenya kwa nguvu ndani ya kumi na nane beki ya iovry coast ili weweseka. Leo kwa kweli ilitakiwa waoneshe determination the whole game...
Mitazamo ya wanachama na wake ni tofauti na mtazamo wangu. Mimi ni mwana mageuzi. CCM na mageuzi ni vitu viwili tofauti. I believe in freedom, human rights, the rule of law, the right of the people to own their natural resources, equal opportunity and social justice. To me CCM does not in any...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.