Walioeka hivo viwakilishi wakaandika vitabu na kufundisha watu kua hivyo, waweza kutafsiri upendavyo nawe pia.
Usingoje kuambiwa mengi ni propaganda tu.
Yesu, MUNGU ama jina limetumika kama kiwakilishi fulani lakini uhalisia ama kitu kinachowakilishwa kina uhalisia ndani ya mtu mwenyewe, mfano ukisema Mungu ndani yako unakuana fikra ya roho, ama mtu ama kitu vyovyote utavyoita chenye uwezo na nguvu zaidi kuliko vyote.
Kwa hio jina hilo sio...
Bing chat inatumia model za gpt-4 nafikiri ni free ila unasubiri uwe waitlisted kwanza, ama lipia premium kwenye chatgpt ya kawaida upate acces ya hio gpt-4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.